Nimekutana na mtu aliyeishinda Saratani

Hakuna ugonjwa usio na dawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tena mboga mboga ni hatari sana aisee, mi hupanda mwenyewe kwenye ndoo zinakuwa Fresh nazinyeshea kuliko hizi mboga za huku Dar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The Disease and it's cure dwels in your mind,huwezi Amini kuna watu wamepona magonjwa yao just kwa kubadili fikra zao zao tu kuwa ugonjwa huu umenipata lakini si nwisho wa kuishi,wapo walio pona kabisa,hawa tunaowasikia wengine wanaanzisha mbio za marathon za kuchangia wahanga Fulani mfano wa relay for cancer wengi ni watu waliokuwa na hayo magonjwa na waliamini kuwa kuumwa si nwisho wa uhai

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Sir With Love, thanks for sharing such testimony. Hopefully our Mama is now healthy and well.

Nina mama yangu mdogo huko kijijini amekuwa diagnosed with cervical cancer. Hajanipa full clues, ila she just hinted that to me on phone convo. Nitampigia leo jioni then I will revert to you for further touches on possibilities ya kupata hiyo tiba uliyoisema.

Cancer ... cancer... cancer... the situation is now getting worse ktk jamii. The alarm is now alerting!! HELL ON EARTH.

-Kaveli-
 
Nadhani Kuna ushirikina na.uganga

Uganga unatumia dawa za mitishamba
Zinafanya kazi, sijui kwa nini hazikuzwi

[emoji252] [emoji479]
 
There is a beautiful healing prayer I came across, it says “Lord you created me from nothing and as I belong to you, you can recreate me again without any illness if it’s your will”.
"If it's God's will!!" Mara nyingi tunashindwa kuomba hii sala "Mapenzi ya Mungu yatimie". Hii ni zaidi ya kuomba uponyaji TU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…