Nimekutana na mwanamke wa ajabu jioni ya leo. Jina la Bwana lihimidiwe

Ukiona vyaelea ujue vimeundwa bila kusahau starehe ni gharama.
Na kweli mkuu, miuno feni anayonipatia inasababisha kiasi kikubwa sana cha pesa kuishia kwake. Hana moyo wa shukurani, kuna siku atakutana na kitu kizito kichwani
 
Uzi mrefu ila in summary unataka kulelewa.
Hapana mkuu, nitalelewaje ilihali namiliki wake wawili na watoto? Kama alitaka nimuhudumie kwa kila hatua ya maisha yake, hakupaswa kufanya biashara kwa mtaji wangu, au kuniomba pesa ya maboresho ya biashara yake. Sasa kama pesa ya sukari ya mama yake ni juu yangu, yeye pesa anapeleka wapi?
 
Mkuu umeielewa kweli comment yangu?
 
Sijaona shida yake hapo naunakula papuchi
Ni kwa vile sioni matunda ya biashara yake. Basi, ajitahidi ahudumie kwao sasa. Kila kitu mimi tu, tutafika kweli!!! Kisa miuno feni na maufundi ya Tanga na Zenji. Hapana kwa kweli
 
Mkuu umeielewa kweli comment yangu?
Ahaa! Kwamba atokee mwanaume mwingine wa kumhudumia? Haina shida, kikubwa anitimizie haja zangu na apunguze kuegemea kwangu katika kila jambo. Kingine nisijue kuwa yuko kwenye mahusiano na mtu fulani

Wanawake hawana dogo, huenda anajenga, huwezi jua.
 
Kheri yako dini inaruhusu kuongeza ,, ila muone huruma kijana denis wacha nae ufaidi raha duniani
 
kheri yako dini inaruhusu kuongeza ,, ila muone huruma kijana denis wacha nae ufaidi raha duniani
Kijana akiwa serious ni lazima atafaidi mema ya nchi. Tokea nimeyafahamu mapenzi, mwanamke wa namna huyo ndo namshuhudia kwa mara ya kwanza
 
Ni kwa vile sioni matunda ya biashara yake. Basi, ajitahidi ahudumie kwao sasa. Kila kitu mimi tu, tutafika kweli!!! Kisa miuno feni na maufundi ya Tanga na Zenji. Hapana kwa kweli
Achร na naye kaa na wake zako wawili nakabla hujaachana naye mwambie ukweli ila kama hutaki basi ila wewe unahitaji maombi unamatatizo kwenye ngono wake wawili na mchepuko Tena ???๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜๐Ÿ’”
 
Utaoa dunia huyo nae ana yake mapungufu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ