Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

KUKUSHAURI ILI ASIKUFATE TENA USIKU UNAPOLALA UJIPAKE MAFUTA YA NDIMU NA UWEKE KITUNGUU SWAUMU CHINI YA MTO HAJI TENA MAANA KHARUFU ZA MAFUTA YA NDIMU NA VITUNGUU SWAUMU VINAWAKERA SANA NA MAFUTA YA NDIMU HAKIKISHA UNAPAKA KILA MARA JAPO CHINI YA MAKWAPA ATAKIMBIA MWENYEWE
 
Ni pm namba yake huyo nimfundishe adabu [emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mawili.

Mleta Uzi ni mfanyabiashara na wafanyabiashara huwa wanafahamika zaidi kwa watu kuliko wao wanavyofahamiana na watu.

Mosi: Aondoe hofu kwanza inawezekana ni binadamu tu na mwanaume kupendwa na mwanamke si ajabu, na si ajabu mfanyabiashara kufahamika zaidi. Pengine huyo binti anamfahamu huyu jamaa na ametokea kuvutiwa naye. Tunafahamu ulevi wa mapenzi unakuaje, pengine huyo binti ametumia hiyo njia ili iwe mwanzo wa mahusiano yao.

Pili: Kama uhalisiya ni sawa sawa na hisiya zake, wadau wengi wamemshauri ni nini cha kufanya. Nina imani atafanikiwa vya kutosha. Pasipo kusaha jambo ulilomshauri ni jambo jema la kutojishughulisha kwa waganga wa kienyeji kwa kadhia yake.
 
Dah we jamaa umenifanya nicheke saan yaan saan

Dah ulipiga kelele za kuashiria nin?mwizi au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko sahihi pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya hii iwe fundisho kwenu wanaume mnaokurupukia wasichana wazuri
Huyajui majini mahaba wewe, hata usipokua mtongozaji likishakupenda lazima likufatilie tu. Kiboko yake ni maombi ya kutosha hakuna kingine
 
Haya MKUU fanya umalizie tujue namna ya kukushauri basi!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka gani huo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…