Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Hivi ni wewe au labda inakuaje? Mabadiliko unaweza ukayafanya kwenye Uzi huo huo. Sehemu ya ku' edit ndo mahala pake.

Hebu i' cut kule halafu i' paste kwenye huu Uzi wako halafu wadau watajua ni nini cha kufanya juu yako.
Nimesha fanya hvy mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi story za Majini Majini Hizi

R!'^/_:Rr[b.+f}[8D?|
 
Shusha thread mzee baba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesha fanya hvy mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Unachotupatia ni Alfu lela ulela unajua? Samahani kama nimekuudhi.

Pengine ufahamu wangu ni mdogo nimeshindwa kusafiri na mantiki yako. Jaribu kuufupisha Uzi wako kwa kuandika matukio muhimu. Hiyo itajenga uyakinifu kwa wadau.

Inawezekana hili suala ni kweli linakusumbua lakini uwasilishaji wako unaweza kufanya kadhia iliyokukuta ikaonekana ni simulizi tu.
 
Mzeee baba nunua kitimoto safi atakimbia mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…