Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Mkuu jitahidi umalizie yote yaliyokukuta alafu yatakayoendelea kutokea ndio utakua unaendeleza sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Am not schizophrenic , i have gone to school and i know what am talking about..hiyo definition yako ya google mm nilienda kabisa hospt! Pole sana!
Kwa uliyoyaandika humu inaonesha ulikuwa schizophrenic! kuhisi unaongea na watu ambao hawapo!
 
Unajua nw ndo nazingatia huu ujumbe wako, akili yangu haipo sawa kwa Kweli...naona Hy majanga yako njian...Mungu aninusulu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anataka kufanana na wahindi epsd hadi 1000 [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anataka kufanana na wahindi epsd hadi 1000 [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] namim hilo kwakweli nimeliona, ukute miezi kadhaa inaisha ukimfuatilia jamaa na nyuzi zake, hapa ume komaa unaacha kufanya mambo ya msingi kumbe anacheza na saikolojia za raia kila siku mpaka episode zake zitakapo fika 1000,,,

Weakness yetu wabongo nikwamba kwenye muvi unakuta muhusika ambaye ni 1) jini mfano, analipisha gari barabarani,,,,
2) Jambazi anavua viatu kuingia ndani akotaka kupora mali etc.

Sasa namim huyu nmesha anza kuona weakness hapa kwenye episode zake,, et jini katuma laki320....... Hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…