Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Alikuwa mwanaume mrefu mwembamba amevaa shati la kahawia mweupeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa mwanaume mrefu mwembamba amevaa shati la kahawia mweupeee
Lihira vurundu vubaha iki litudhotia madeghe ambu enetughenja kini mbare iyo migongo lineparitika litufishe? Kana valala na vaghothi kula mbare venelikwea vikiiwa nahi Kari thi konda ya magwala iyoHa
Ha ha ha ha ha ha ha ha nakukunda avae ili libwange lihira uvivi mnooo twwthilikunda
shigha du mira mrungu evona tehena elikundieLihira vurundu vubaha iki litudhotia madeghe ambu enetughenja kini mbare iyo migongo lineparitika litufishe? Kana valala na vaghothi kula mbare venelikwea vikiiwa nahi Kari thi konda ya magwala iyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaicha nekiogha wanakicha naligera hata mkomo lirefwiia uko havo [emoji3][emoji3][emoji3]shigha du mira mrungu evona tehena elikundie
Kwan emoji zinapunguza nguvu za kiume?Huwa napata tabu kumuelewa kijana tena anaejitanabaisha kuwa wa kiume..
kwanza, akitumia emoji katika maandishi yake
Pili, kukatisha maneno eti '7bu'..sasa hako ndio kakitunguu swaumu gani?
Anyway..hapo njia panda unafanya nini saivi? Au ndio unakula mavitunguu swaumu ili uje uendelee?
Wachina wa vudee lembeni kirinjiko hedaru makanya ijinyu gonja more mhedhi mbagha marindi mamba uti dheUzi ulikua mzuri sana sijui umeingiliwa na wachina wa wapi
Ulikuake kama hio kesho itafika uandike tena ach stori nduguHabar zenu wadau. Naomba mnisaidie maana nipo njia panda sielew nifanye Nini.
Waswahili wanasema mficha maradhi Kifo humuumbua.
Mimi sitaki kusubiri Kifo kinikute. Ileweke nimekuwa humu JF kwa muda mrefu, Mara nyingi nimekuwa msomaji tu, wa matukio ya watu, pamoja na kujielimisha, Mara chache sana nimekuwa nikichangia mijadala pale inapobidi. Hii ndio thread yangu ya kwanza. Hivyo sijaandika kwa ajili ya kuburudisha/kumtisha mtu, ninachokiwasilisha hapa Ni ukweli mtupu. Lengo na madhumuni Ni kupata ushauri na msaada pale inapobidi.
***** ****** ******** ******** ******
Iko hv, Mimi Ni mfanya biashara mdogo ninaejishughulisha na uuzaji wa nguo za kiume katika sehemu Fulani hv hp jijini DSM. Kiufupi Nina maduka mawili ya nguo za kiume, hiyo ndio ajira yangu inayonifanya niishi hapa mjini. Sasa mnamo Tar 27 Dec ya mwaka Jana (2018)nipo ktk moja ya ofisi yangu na endelea na majukumu yangu ya kawaida, tena nakumbuka ilikuwa siku ya alhamisi mida ya Kama saa 7 mchana kuelekea saa 8 hv, alikuwa mteja ambae Ni mwanamke ( Alikuwa mrembo sana, mweupe Ana asili Kama ya kiarabu hv) ila rafudhi Ni yakipemba. Kama kawaida nikawa namsikiliza, akaniambia nimchagulie nguo nzuri anataka ampelekee mme wake, Yani shati na suruali.
Wakati naendelea kumchagulia nikawa namuuliza anavaa size gani? Akacheka akasema yupo Kama wewe, kwa kila kitu...Tena akaongeza na kusema nguo nitakazo zipenda Mimi hata yy atazipenda.
Nikawa namtania, nikamwambia kwa jinsi ulivyomzur hvy nataman mume wako niwe Mimi, akaniuliza Kweli? Nikamwambia hakuna mwanaume chini ya jua anaweza kukukataa msichana mrembo Kama wote tukacheka.
Zoezi la kuchagua nguo likaendelea tukafanikiwa kupata nzuri akazipenda. Tumezoea wabongo tunapenda discount, lkn kwake ilikuwa ni tofauti, akauliza nikiasi gani alipe, nikamwambia akalipia bila kuomba punguzo la Bei Kama tulivyozoea kwa wateja walio wengi. Wateja wa namna hii hutokea ila ni marachache sana, hvy nilifurah maana inakuwaga bingo unapata faida nzur.
Nikiwa namfungia hz nguo, aliniuliza...umeoa? Nikamwambia hapana akacheka akasema, nilijua tu...huwez kuoa mapema 7bu unapenda pombe na wanawake wa aina tofauti tofauti, kifupi we Ni mzinifu. Hii ya pombe ilinistua kidogo, amejuaje mm nakunywa pombe, ila sikutaka kumuonesha hadharani.
Akaniambia, Kuna sehemu anaenda hvy akirudi atauputia mzigo wake, ila nimuhifadhie, akaniuliza huwa nafunga saa ngapi? Nikamwambia, akaniomba namba ya simu Kama sitojali nimpe ili Kama atachelewa anijulishe nisije chelewa kufunga kwa 7bu yake. Nami sikuona Tatizo, kwanza Ni mteja lakini pia Ni mrembo sana[emoji847] Kama tunavyojijua sisi wanaume, basi nikampa namba, akaaga na kuondoka.
************
Hapo ndipo kizazaa kilipoanza. Hata hapa naandika thread hii, Sina amani kabisa. Kufika mida ya Kama saa mbili na robo usiku, sms ikaingia kwenye simu yangu.inasema "Zawadi niliyo kununulia umeipenda"? Mmmh, mm nikahisi itakuwa mtu kakosea namba, coz ilitokea namba mpya, baada ya Kama dk 10 hv, ile namba iliyotuma sms ikawa inanipigia, kupokea nasikia sauti ya msichana, akaniuliza...mbona hujajibu sms yangu hau unapenda zawadi yangu, nikamuuliza unajua unaongea na Nan?
Akasema ndio Ni Fulani (akataja jina langu), nikashangaa nikamwambia mbona hakuna mtu nilimwagiza zawadi akasema, Tena umechagua na kuzijaribisha mwenyewe Mara hii umesahau? [emoji849][emoji50] Akawa anacheka[emoji1787][emoji1787][emoji1787] akaniuliza umeshanikumbuka? Nikamwambia ndio...nikamuuliza umejuaje jina langu wakati sikumtajia, (Nilimdanganya jina) Mara nyingi Sina destruri ya kukwambia jina langu la ukweli mtu nisie mjua, Hilo likanishangaza...nikachekecha akili nikahis labda ameangalia kwenye tigo pesa maana nilimpa namba ya tigo, swali lililozidi kuniumiza akili anawezaje kuja dukani kwangu kuninulia nguo Ikiwa hanifahamu, wakat aliniambia Ni za mumewe?
Nikamuuliza si ulisema unampelekea mumeo? Akaniambia kwani wewe hufai kuwa mume wangu? Akiwa anacheka, akaendelea.....na si ulisema hujaoa au ulinidanganya? Nikabaki na kigugumiz nisiamini ninachokisikia, akaniambia nimeamua kukutunuku. Usiku mwema, nitakuja kukutembelea siku nyingine akakata simu. Nikabaki na maswali chungu nzima, kupiga ile namba ikawa haipatikan...baada ya hapo ndio vitimbi vilipoanza.
Itaendelea.......
NB: Nimechoka kuandika nitaendelea kesho ila kiukweli mwezenu nipo njia panda sielew, mwaka nimeanza na mauzauza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kha na wewe umezidihii story ni moja kati ya vitu vitavofanya nishindwe kufikia malengo yangu 2019 maana inaniibia mda wangu
any way part three lini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu..ila ni huyo huyo ndio anakuja PM yako kukutisha.Habar za muda wanajamvi. Soon nawawekea Nini kilichojiri. Ila naomba kutoa angalizo na Rai, kwa baadhi ya wachangiaji humu. Mimi sio mtunzi Kama wengi mnavyodhani, hiki ninachokileta mbele yenu, Ni wakat ambao napitia Sasa...nipo wakat mgumu sana. Hv ninavyoandika, nimetawaliwa na hofu na wasiwasi mkubwa, nahitaj msaada wenu. Niombeeni tafadhali mtihani niupitiao Ni mzito sana. Na mnaokuja PM, Kama Huna lengo la kunishauri ni vyema ukaacha kuliko kuendelea kunitisha kwamba nitakuwa pamoja na kunidhiahak, ama Kweli binadamu hatufanani, sikutegemea Kuna watu watanibeza na kuniogopesha kiasi hiki badala ya kunisaidia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Matatizo ya mwenzako yamekuwa sehem ya kiburudisho kwako..!![emoji57]Mkuu jitahidi umalizie yote yaliyokukuta alafu yatakayoendelea kutokea ndio utakua unaendeleza sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Usipate tabu rafiki, hii ni simulizi yenye sanaa na maudhui ndani yake.Huwa napata tabu kumuelewa kijana tena anaejitanabaisha kuwa wa kiume..
kwanza, akitumia emoji katika maandishi yake
Pili, kukatisha maneno eti '7bu'..sasa hako ndio kakitunguu swaumu gani?
Anyway..hapo njia panda unafanya nini saivi? Au ndio unakula mavitunguu swaumu ili uje uendelee?