Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Ha

Ha ha ha ha ha ha ha ha nakukunda avae ili libwange lihira uvivi mnooo twwthilikunda
Lihira vurundu vubaha iki litudhotia madeghe ambu enetughenja kini mbare iyo migongo lineparitika litufishe? Kana valala na vaghothi kula mbare venelikwea vikiiwa nahi Kari thi konda ya magwala iyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwan emoji zinapunguza nguvu za kiume?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulikuake kama hio kesho itafika uandike tena ach stori ndugu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Hyo inaitwa jinijini ananipenda sana Mimi"..
Akaniachia namba, kiganjani mwangu alafu akapotea...
Duuh.. Nyimbo Kali ila nimeisahau kidgo HV..
But kesho itaendelea muda gani nizamie humu mapemaaaaaaaa..!!!
 
Pole sana mkuu..ila ni huyo huyo ndio anakuja PM yako kukutisha.
We muweke mungu mbele mkuu na usitishike.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usipate tabu rafiki, hii ni simulizi yenye sanaa na maudhui ndani yake.

Kuwa na amani, utafurahi baadae.
 
Pole sana, lakini ni mhimu kuelezea mkasa mzima ili usaidie wengine kuepukana na hilo pepo ulilokumbana nalo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…