Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
May be broo! I will stop hereU are too jumpy ndugu..
Apart from Wednesday siku zote damage ni 20 k plus 4 coupons za vinywaji!oooops, siparty weekdays.
HahahahhahahaahhaUmbea gani?
Apart from Wednesday siku zote damage ni 20 k plus 4 coupons za vinywaji!
Potezea mkuu! I am not in chugga broo. Last time I was in chugga was 2015Yes unfortunately sina hata mzuka wa kuanzisha uzi and quite sure nikiyaweka yote humu ndani ipo mijitu itadhani chai' ndo ivo mzee! Hows chuga?
Hahahahahahaah. HayaaaaUmbea sunaaaaaah
Hahahahah jini kidampa tuThat jini must be very poor, na kukusumbua kote huko halijatumia hata TZS 500K. Tafuta jini Matawi mwana.
[emoji3][emoji3]me sifahamiki dunia nzima utakua umeifananisha
Yaani by this time jamaa angekuwa anatuambia anaandika akiwa madubahi wametoka shopping Burjuman Mall na bby wake bi jini ningemuelewa.Hahahahah jini kidampa tu
kuna wana magomeni ndo kazi yao mjini, wanakupa majini na wanakutoa wenyewe, ukisema pesa huna wanapokea ata tv, masofa au vyombo vya ndani kama malipoInawezeakana zimwi lenyewe limefungua ID humu linasoma tu komenti haha. Inawezekana hicho kidada kinachojifanya jini ni wale waganga matapeli anakuvuruga halafu baadae mwenzake anatokea akupe tiba ya majini.
On a serious note nenda kawaone viongozi wa kiroho. Tatizo lako inawezekana ni kubwa sisi tunafanya utani hapa
Herehoa?
Unakuwa muoga sana
Binafsi hii makitu ilinikuta nikiwa mdogo sana
Ila kitu kilichonisaidia ni kupuuzia
Na vikaja kuondoka vyenyewe
Weka mambo hadharani
Songa mbele na maisha yako
Leta hiyo story man tupate burdanUmenikumbusha niliwahi vagaa mrembo kariakoo kitimtimu kwenye kulala baada ya wiki..nikataka kuzima taa nilichokiona sitokaa nisahau mpaka nakufa..haya mambo yapo jamani..omba sana mungu, naona dalili za kufilisika kwako' be very careful..mm huyo msichana hata sijui ilikuaje ila nilikutanishwa na mtu ambae akataka kunitambulisha kwa huyo bi dada mwenye maduka kariakoo..ili tufanye joint venture..nimeteseka mnooo kuanzia 2016..ipo siku ntakuja na mkasa wake, ila naona downfall yako..si mtu mzuri huyo!
Yeah, hata mimi nahisi hivyo mkuu... Huenda jamaa Alikuwa Schizophrenic kulingana na jinsi alivyo andika.Kwa uliyoyaandika humu inaonesha ulikuwa schizophrenic! kuhisi unaongea na watu ambao hawapo!
Hahahahahah umeona eehYeah, hata mimi nahisi hivyo mkuu... Huenda jamaa Alikuwa Schizophrenic kulingana na jinsi alivyo andika.
Moja ya sifa kubwa za Schizophrenia ni HALLUCINATIONS, na mara nyingi Sana ni AUDITORY HALLUCINATIONS.
Sent using Jamii Forums mobile app
I was not schizophrenic mzee baba..ngoja yawakute!Yeah, hata mimi nahisi hivyo mkuu... Huenda jamaa Alikuwa Schizophrenic kulingana na jinsi alivyo andika.
Moja ya sifa kubwa za Schizophrenia ni HALLUCINATIONS, na mara nyingi Sana ni AUDITORY HALLUCINATIONS.
Sent using Jamii Forums mobile app