Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

NIwajulishe tu msishange huyu bwana mwanzisha uzi hatunaye tena.Amechukuliwa baada ya kuleta habari JF.Bakuli la Rambi Rambi atashika Mshana Jr Mshanajr tunamzika kesho.R.I.P. Mleta mada.Usitangaze habari za majini
 
That jini must be very poor, na kukusumbua kote huko halijatumia hata TZS 500K. Tafuta jini Matawi mwana.
 
Inawezeakana zimwi lenyewe limefungua ID humu linasoma tu komenti haha. Inawezekana hicho kidada kinachojifanya jini ni wale waganga matapeli anakuvuruga halafu baadae mwenzake anatokea akupe tiba ya majini.

On a serious note nenda kawaone viongozi wa kiroho. Tatizo lako inawezekana ni kubwa sisi tunafanya utani hapa
kuna wana magomeni ndo kazi yao mjini, wanakupa majini na wanakutoa wenyewe, ukisema pesa huna wanapokea ata tv, masofa au vyombo vya ndani kama malipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unakuwa muoga sana

Binafsi hii makitu ilinikuta nikiwa mdogo sana
Ila kitu kilichonisaidia ni kupuuzia
Na vikaja kuondoka vyenyewe

Weka mambo hadharani
Songa mbele na maisha yako

Yaani unavyotoa ushauri ni km unamshauri mtu mwenye HIV, unaliweka too psychological wakati limekaa kispritual
 
Umenikumbusha niliwahi vagaa mrembo kariakoo kitimtimu kwenye kulala baada ya wiki..nikataka kuzima taa nilichokiona sitokaa nisahau mpaka nakufa..haya mambo yapo jamani..omba sana mungu, naona dalili za kufilisika kwako' be very careful..mm huyo msichana hata sijui ilikuaje ila nilikutanishwa na mtu ambae akataka kunitambulisha kwa huyo bi dada mwenye maduka kariakoo..ili tufanye joint venture..nimeteseka mnooo kuanzia 2016..ipo siku ntakuja na mkasa wake, ila naona downfall yako..si mtu mzuri huyo!
Leta hiyo story man tupate burdan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa uliyoyaandika humu inaonesha ulikuwa schizophrenic! kuhisi unaongea na watu ambao hawapo!
Yeah, hata mimi nahisi hivyo mkuu... Huenda jamaa Alikuwa Schizophrenic kulingana na jinsi alivyo andika.

Moja ya sifa kubwa za Schizophrenia ni HALLUCINATIONS, na mara nyingi Sana ni AUDITORY HALLUCINATIONS.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom