Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Na wewee umechanganya uchawi na bibilia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwana wewe jini ni jini tu hakuna cha jini mbaya wala jini mzuri, sasa huyu anayetumia mamlaka yake ya giza kulazimisha mahusiano ndio utasema mzuri?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanzo umetoa maelezo kama mganga wa kienyeji baadae kama mtumishi haha ma mdogo umenishinda tabia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa imani yangu majini na wanadamu sote tumeumbwa na Allah,na hatutakiwi kuwa na muingiliano wowote sote kazi yetu ni kumuabudu yeye Muumba wetu.
Hapo sasa utaona hakuna jini mzuri kwa mwanadamu maana jini yoyote akishirikiana na wanadamu anakua ameshakengeuka,mwanzo atakuja kama mzuri kwako na huenda hata akakulazimisha kwenda kuswali lakini mwishoni ataanza kukupa masharti bila wewe kujua mfano ukaambiwa uvae pete ukiivua unapoteza bahati,kwa imani ya kiislam vyote vya mwanadamu vinatoka kwake Allah lolote la kuamini mfano pete,siku,muda,majini kua ndio either yatakuongezea kipato/uhai etc au yatakupunguzia huko ni kumshirikisha Muumba wako,naye hana mshiriki yoyote yule. Ni dhambi kubwa sana zaidi hata ya kuua na kuzini.
Amini jini hawezi kukufanya lolote yeye kama yeye lazima atumie watu maana yeye hana uwezo hata wa kukukaba angekua na uwezo huo wangetumaliza sana,majini hawana uwezo wa kujua lolote unalowaza moyoni wao wanaona lile unaloandika au lile unalolisema. Hivyo tumia udhaifu wao kupambana nao
Kwanza uwe msafi sio unaswali kwa kugusa gusa swali haswa na funga itakusaidia sana,pili mambo yako yaweke moyoni ikiwezekana unalosema lisiwe unalolifanya mfano unaweza ikawa baadae unaenda ibadani ila wewe unaweza mpigia rafiki yako kua aise naenda beach jioni,yeye ataenda kukusubiri beach wewe unaenda ibadani. Rudi kwa Muumba wako tena usifanye IBADA KWA KUBEEP FANYA IBADA KAMA INAVYOTAKIWA HASWA,teyari una mtihani sasa sio asubuhi ibadani jioni bar hautofanikiwa mkuu.Mwenyezi Mungu atakusaidia ila usimsikilize jini atakupotezea dunia na kesho akhera.
Namuomba Muumba akusaidie In Sha Allah
 
Sasa Kwa nn wanafanya ivi .ikiwa wanakupenda?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa Kwa nn wanafanya ivi ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bangi bangi bangi usiivute mchana kweupee.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Bwana wewe jini ni jini tu hakuna cha jini mbaya wala jini mzuri, sasa huyu anayetumia mamlaka yake ya giza kulazimisha mahusiano ndio utasema mzuri?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu hakuna shetani mzuri. Yaani Kuna jamaa mwaka jana mwanzoni alifanyiwa kitu mbaya na mtu/jini/msukule sijui niuite jina gani. Huyo jamaa ni boda, inasemekana ana tabia ya kutoboa ozone (kukesha akitafuta faranga). Sasa majira fulani ya usiku mnene akapata kichwa Cha kike kinaulizia mahala pa kulala. Jamaa akamwelekeza mteja wake na wakakubaliana ampeleke kwa kuwa ni usiku. Kufika logde haifahamiki walianzia vipi mpaka wakakubaliana wafanye mchikicho. Kule ndani jamaa anasimulia baada ya round sijui ya tatu sikumbuki, akaulizwa na mteja wake, "ulikula?" Jamaa akakubali, swali la pili la mteja jini jike " kwa kawaida yako huwa unaenda mara ngapi mbona umechoka mi bado?" Sikumbuki jamaa alichosimulia kumjibu huyo malikia. Ila anasema alifanyiwa usodoma wa hatari na huyo msukule jini mpaka akachanika (maana damu zilimtoka akashindwa kutembea kiasi Cha kuhitaji msaada pale lodge). Wakati anatendewa hayo mambo alikuwa akishuhudia kwa ufahamu wake but uwezo na nguvu wa kukataa au kupiga kelele haukuwepo.

Alikuja kupata ufahamu tu baadae kumekucha jua jeupe baada ya hamaki kile kilichomkuta (hallucinating) na ambapo alilazimika kupiga kelele ili kupata msaada kwa wahudumu wa ile lodge. Na alipoulizia huyo mgeni wake aliyempeleka pale kama wamebahatika kumwona, ilionekana hawakuona mtu yeyote kutoka ndani ya ile lodge toka walipoingia.

Msidhanie haya mambo ni ya kudhani au kitu ya bumbuwazi au kitu ya hallucination.

"Anyway kusoma sana nako hupotosha"
 
Hasa
 


Ni mwanamme wa Dar, kuwa mvumilivu tu...si unawajuwa desturi zao?
 
duuuuh mwamba pole xana ila msaaada mkubwa ni kanisani au msikitini kaombewe au wakufanyie dua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…