Kula buscut na soda uone kama mbunye haihitaji manguvu... Unajipanga namna ya kujitetea ili ukishindwa kumtimizia umwambie ni strehe tu,kwa hiyo ki1 kwa afya hapo mwenzio hajatosheka hata kidogo. Eti mibembelezo yenu ndio unamvisha pete unaliaaaaaaaaaaa kwanzaaaaaaa weeeee.Naona umekazania mkoani Mkoani, mkoani wapi huko? Nani alikwambia mbunye inahitaji maguvu?
Ni riwaya?[/QUOT
Kiuhalisia kuna wengi tu hawataamini hili mpaka mtu wa karibu imtokee au itokee kwake sio kwa kusikia tu na Mimi ni mmoja wa aina hiyo awali nilikuwa naona wanapiga soga ila ilivyo tokea kwa ndugu nimeamini kuwa majini yapo
Yan unamaanisha ukimya wa mtoa maada tayari jini lilishafanya yake.Mtoa mada RIP naona ushanyonywa damu tayari
Yapo,mzee utahama utatamani lije daily,tatizo yanageukageuka sura! Mara mdudu mara mnyama usiombe mkuu unaweza kukurupuka ukatoka nje mbio uchukue ukishtuka.Hakuna majini ya showtime? cant imagine papuchi zao zilivo za moto!!
We mzee wa box usiombe utajikuta uko NYC kwa mbio bila kupanda ndege.Hakuna majini [kama yapo, nirushieni mimi].
Hakuna mashetani.
Hakuna uchawi.
Hayo ni maruerue [hallucinations] tu.
Maruerue ni moja ya dalili za ugonjwa wa akili.
We mzee wa box usiombe utajikuta uko NYC kwa mbio bila kupanda ndege.
Duh!Hakuna majini [kama yapo, nirushieni mimi].
Hakuna mashetani.
Hakuna uchawi.
Hayo ni maruerue [hallucinations] tu.
Maruerue ni moja ya dalili za ugonjwa wa akili.
You are seeing and hearing things.
Seek a shrink’s help.
Kwa heshima na taadhima ma mdogo naomba unifunulie hicho kifungu kinachoelezea hayo matibabu uliyoyatoa hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka ligi eeh mamdogo
Be Humble is free of charge [emoji873]