Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Alphonce my nutts

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni njia ya kitapeli lakini niyazamani sana. Endelea kuomba na kuombewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eeh amekuwa haya tena kuna mwingine kapandisha uzi anaaga kuwa anatelekeza familia kwenda Arusha. Hivi sote tukianika mapito yetu na kuomba michango patakalika humu ndani?

JF inaanza kugeuzwa kuwa pango la wezi kama wale wanaotuma SMS kwenye simu. Muwe na tahadhari wachangiaji..
 
Huyo mtoto alikuwa binadam wa kawaida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…