Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Mkuu tuelezee kidogo chanzo ilikuaje plz
 
Hapana hamtonielewa, nimejaribu kuwaelezea watu wengi lakin wakaona kama nimerukwa na akili, lakin naamin muda ni jibu jema, ngoja nione itakuwaje.
Mkuu hadithia kisa chako vijana tujue namna ya kukabili hizi changamoto hata zikitokea tujue kuna wenzetu pia walipitia
 
Hilo ni jini mahaba. Usipofanyia kazi hiyo hali hutakaa use kamwe!
 
Kwenye mambo ya giza ni vigumu kueleweka Labda kama unao Waadithia Waliwahi Kukutana nayo. Hata mm nilikuwa naona ni Kama Hadithi za Abunuasi mpaka yaliponikuta.
Vip lakini yamekwisha au bado unapitia mtihan
 
UJINGA ni mzigo mkubwa Sana mkuu

Umetokewa na mtu mkaongea mkacheka VIZURI tu!ukagundua sio wa kawaida na anakupenda sasa kulikuwa na haja gani kuanzisha ligi naye!!?

Ungekuwa mpole ukaanzisha mahusiano nae halafu ikaanza kumuuliza pole pole ataishi na wewe kwa MUDA gani kwa mipango gani KULIKO kuanzisha ligi za kipumbavu!!

Hakuna jambo linalomtokea mtu bila kupangwa na mungu!

Ungekuwa mpole angekuja kuondoka mwenyewe bila hata shida sasa wewe ukaleta utoto na UJINGA aiseh!!?

Mnaikosea Sana nature Sana Tena!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…