Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Hapana hamtonielewa, nimejaribu kuwaelezea watu wengi lakin wakaona kama nimerukwa na akili, lakin naamin muda ni jibu jema, ngoja nione itakuwaje.
Kwenye mambo ya giza ni vigumu kueleweka Labda kama unao Waadithia Waliwahi Kukutana nayo. Hata mm nilikuwa naona ni Kama Hadithi za Abunuasi mpaka yaliponikuta.
 
Ahsante sana kwa kunijali rafiki[emoji120] Kwa Kupitia hayo hayo maombi nimeponea kwenye mdomo wa simba. Haikuwa kazi ndogo, Nitakuja nieleze hapa ilivyokuwa.
Lini??
 
Mi kuna demu mmoja huwa namuota namgegeda mara kwa mara japo siyo mara nyingi lakin sura yake imekua ikijirudia kwenye ndoto kwa siku tofaut tofaut nikimgegeda..
Kinacho nipa hofu hata nikipenda demu mwngine wa mtaani nikimtongoza akinikubalia baada ya hapo nakua naanza kumchukia bila sababu, sitaman kuonana nae hata mawasiliano nae akinitafuta naweza nispokee simu bila sababu.

Yani kwa kifupi napata bahat ya mademu wanao nipenda Sana ila nikiwa kweny mahusiano nakua na hofu na Sina raha kabisaa had niachane nae ndo napata amani.. Kuna mtu nilimshirikisha akaniambia kuwa Hilo ni jini
 
Mi kuna demu mmoja huwa namuota namgegeda mara kwa mara japo siyo mara nyingi lakin sura yake imekua ikijirudia kwenye ndoto kwa siku tofaut tofaut nikimgegeda..
Kinacho nipa hofu hata nikipenda demu mwngine wa mtaani nikimtongoza akinikubalia baada ya hapo nakua naanza kumchukia bila sababu, sitaman kuonana nae hata mawasiliano nae akinitafuta naweza nispokee simu bila sababu.

Yani kwa kifupi napata bahat ya mademu wanao nipenda Sana ila nikiwa kweny mahusiano nakua na hofu na Sina raha kabisaa had niachane nae ndo napata amani.. Kuna mtu nilimshirikisha akaniambia kuwa Hilo ni jini
Mbona hii ishu hata mimi inanitokeaga ila ndoto siotagi, tuseme kwenye kuwa na demu nakuwa sina time naye na kukosa amani ila hadi tuachane ndio naona kawaida, hii sijui ikoje yani sujui nachezewaga?
 
Nimeifuatilia hii mada neno Kwa neno ikiwamo kusoma comments zote kama nilivyokuwa nikisoma vitabu vya Willy Gamba . Mwanzoni nilishawishika kuamini. Lakini mwishoni wanapojitokeza watu kuanza kusimulia habari za waganga wa kienyeji napatwa na kigugumizi kuendelea kuiamini hii habari. Sikatai kuwa haya mambo hayapo. Yapo. Ila mtoa mada anavyoileta haileti kama mtu anayehitaji msaada au ushauri, zaidi hii habari inakuja ikiwa imeachia mwanya mkubwa wa matapeli kutangaza biashara zao. Naomba nikuombe mtoa mada. Huyo mama akija tena jivike ujasiri Kisha mkazie macho katika macho yake. Kama ataona aibu na kukwepesha macho usiache. Jitahidi mpaka mtakapoangaliana macho Kwa macho kama sekunde kumi. Ikiwa atapepesa macho usihofu huyo atakuwa binadamu wa kawaida. Ila endapo hatapepesa macho (eye blinking) basi jua kuwa hapo unadeal na jini na nitafute inbox nikuelekeze hatua za kuchukua. NB. Msiohusika msinifuate inbox maana mimi sio mganga wala tapeli.
Willy Gamba ana vitabu vya design gani? Naomba nitumie.
 
Kuna vitu vingi sana Vinakupita
Ilikuwaje mkuu me nimeipenda story yako eti[emoji7][emoji7] it's very sweet... japo toka mwaka 2019 leo ndo nimeisoma[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mi kuna demu mmoja huwa namuota namgegeda mara kwa mara japo siyo mara nyingi lakin sura yake imekua ikijirudia kwenye ndoto kwa siku tofaut tofaut nikimgegeda..
Kinacho nipa hofu hata nikipenda demu mwngine wa mtaani nikimtongoza akinikubalia baada ya hapo nakua naanza kumchukia bila sababu, sitaman kuonana nae hata mawasiliano nae akinitafuta naweza nispokee simu bila sababu.

Yani kwa kifupi napata bahat ya mademu wanao nipenda Sana ila nikiwa kweny mahusiano nakua na hofu na Sina raha kabisaa had niachane nae ndo napata amani.. Kuna mtu nilimshirikisha akaniambia kuwa Hilo ni jini
The same to me mkuu,
 
Sitishiki kwa mambo ya kufikirika mimi.

Uchawi haupo. Majini hayapo.

Ila ugonjwa wa akili upo. Na moja ya dalili zake ni mtu kuamini karogwa au katupiwa jini.
Kwa taarifa yako, wewe ndio mchawi. Mnajifanya(ga) hamuamini ili kuwapoteza watu maboya wasijue siri zenu.
 
Umenikumbusha niliwahi vagaa mrembo kariakoo kitimtimu kwenye kulala baada ya wiki..nikataka kuzima taa nilichokiona sitokaa nisahau mpaka nakufa..haya mambo yapo jamani..omba sana mungu, naona dalili za kufilisika kwako' be very careful..mm huyo msichana hata sijui ilikuaje ila nilikutanishwa na mtu ambae akataka kunitambulisha kwa huyo bi dada mwenye maduka kariakoo..ili tufanye joint venture..nimeteseka mnooo kuanzia 2016..ipo siku ntakuja na mkasa wake, ila naona downfall yako..si mtu mzuri huyo!
Hivi hii iliishaje? Au ni zile za Shigogo?
 
Hivii mna taka nini nyie watu?? Mbususu ya bureeeee!! unapewa tena kamdada kazuri ka kiarabu!! mwee si mfanyane tu!! kuna faida
anakulinda na wadad walafi!!
anazuia chuma ulete!!
anakupa hela kazi!!
mnakaa kulialia tyuuuu!!!
hupati ukimwi
asa hamuoni mna bahati mbwa nyie?
 
Back
Top Bottom