Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Ndio nyie mnazungumza mambo kwa kufwata mkumbo bainisha ID ninazotumia huku? Ni zipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu naamini kufanyiwa maombi sio dhambi kwamba ushindwe kuainisha location ya hayo maombi... Naomba to a area code kama ni hapa Dar najua ntatoroka vipi job kesho nije nishiriki kwenye maombi maana na mie ni muumini mzuri tu wa maombi.... Failure to do so means umetufanya tufikie conclusion hata kama inaweza isiwe conclusion ya kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu nipe ID unazohisi ni zangu pia?
----------------------------------------
Ndugu puker usiwe na jaziba wala usikasilike maana humu umekutana na kila aina ya watu yaani;
1.
wapo wasioamini huu mkasa wako
2.wapo walioumizwa na matapeli kwa hiyo na wewe wanakuhusisha na hao matapeli.
3.wengine hawajakutana na shida kama hizi kwa hiyo siyo rahisi kukuamini.
4.kuna wengine mawakala wa majini kwa hiyo usitegemee wakuunge mkino.
5.lakini pia wapo wabishi,wajuaji,wasioamini uwepo wa majini,na wale wapenda masihara.
6.wapo wanaojua/kuona majini yanasaidia watu iweje wewe likusumbue.
7.wapo wanaotamani kuoa/kuolewa na huyo jini.

wote hao unatakiwa kuwachukulia na uendelee na kutatua tatizo lako.
zaidi;

*usisahau kuleta mrejesho wenye ushahidi*
 
Ndugu naamini kufanyiwa maombi sio dhambi kwamba ushindwe kuainisha location ya hayo maombi... Naomba to a area code kama ni hapa Dar najua ntatoroka vipi job kesho nije nishiriki kwenye maombi maana na mie ni muumini mzuri tu wa maombi.... Failure to do so means umetufanya tufikie conclusion hata kama inaweza isiwe conclusion ya kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Me nimeomba location tangu asubuhi kimyaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom