Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Basi wacha tuendelee kuamini iko hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujanielewa nasema wewe na espy huwa hampendi kuona nyuzi za kudhalilisha wanawake nawapa big up
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana, sijajidhalilisha maana mitazamo ya watu haibadili ukweli. Hata wa kwako ni mtazamo pia, akili yangu imejitosheleza kupambanua mambo
Kwanini usumbue watu na multiple I'd aisee too childishHapana, sijajidhalilisha maana mitazamo ya watu haibadili ukweli. Hata wa kwako ni mtazamo pia, akili yangu imejitosheleza kupambanua mambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi huo uzi bado upo?Mimi hata sikutaka kukomenti. Tuliishia kusimangwa wiki nzima kwa story zake feki
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio nyie mnazungumza mambo kwa kufwata mkumbo bainisha ID ninazotumia huku? Ni zipi?
Ndugu naamini kufanyiwa maombi sio dhambi kwamba ushindwe kuainisha location ya hayo maombi... Naomba to a area code kama ni hapa Dar najua ntatoroka vipi job kesho nije nishiriki kwenye maombi maana na mie ni muumini mzuri tu wa maombi.... Failure to do so means umetufanya tufikie conclusion hata kama inaweza isiwe conclusion ya kweliNdio nyie mnazungumza mambo kwa kufwata mkumbo bainisha ID ninazotumia huku? Ni zipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio nyie mnazungumza mambo kwa kufwata mkumbo bainisha ID ninazotumia huku? Ni zipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakusimanga wanawake mama...
Mods wameuharibu kuunganisha huyu gududu anatakiwa awe sample size kwa wazalilishaji humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaaa arobaini yake ikifika nilishangaa watu wanamkunalije huyo mzalilishaji. Humu JF walioko vzuri hawanaga mda wa majungu wala kuanzisha nyuzi kushindana na wanawake.Anapumulia oxygen . kiki imebuma na kudhalilika juu.
Hamna mtu anayedhalilisha wanawake akawa na mwisho mzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu nipe ID unazohisi ni zangu pia?
----------------------------------------
Ndugu puker usiwe na jaziba wala usikasilike maana humu umekutana na kila aina ya watu yaani;
1.wapo wasioamini huu mkasa wako
2.wapo walioumizwa na matapeli kwa hiyo na wewe wanakuhusisha na hao matapeli.
3.wengine hawajakutana na shida kama hizi kwa hiyo siyo rahisi kukuamini.
4.kuna wengine mawakala wa majini kwa hiyo usitegemee wakuunge mkino.
5.lakini pia wapo wabishi,wajuaji,wasioamini uwepo wa majini,na wale wapenda masihara.
6.wapo wanaojua/kuona majini yanasaidia watu iweje wewe likusumbue.
7.wapo wanaotamani kuoa/kuolewa na huyo jini.
wote hao unatakiwa kuwachukulia na uendelee na kutatua tatizo lako.
zaidi;
*usisahau kuleta mrejesho wenye ushahidi*
Me nimeomba location tangu asubuhi kimyaaaaNdugu naamini kufanyiwa maombi sio dhambi kwamba ushindwe kuainisha location ya hayo maombi... Naomba to a area code kama ni hapa Dar najua ntatoroka vipi job kesho nije nishiriki kwenye maombi maana na mie ni muumini mzuri tu wa maombi.... Failure to do so means umetufanya tufikie conclusion hata kama inaweza isiwe conclusion ya kweli
Sent using Jamii Forums mobile app