Aisee nimeishia kucheka tuWanasema “ usifunge ndoa asubuhi mana hujui nani utakutana nae jioni” hatimae kwangu jioni imefika na nimekutana na mrembo alieumbwa kwa ajiri yangu.
She is beautiful, hot, real hot. Ni anaendana na mimi yani ile couple ambayo baba na mama wote ni super handsome and beauty.
My current wife is hot but not as my soulmate, i feel sorry for my wife but, I discovered the purpose of life. Time will tell.
Ulipomuoa ulikuwa unafahamu kuwa siyo “soulmate” wako? Au ulilazimishwa?Wanasema “ usifunge ndoa asubuhi mana hujui nani utakutana nae jioni” hatimae kwangu jioni imefika na nimekutana na mrembo alieumbwa kwa ajiri yangu.
She is beautiful, hot, real hot. Ni anaendana na mimi yani ile couple ambayo baba na mama wote ni super handsome and beauty.
My current wife is hot but not as my soulmate, i feel sorry for my wife but, I discovered the purpose of life. Time will tell.
Wakumbushe pia Gono la sahv limetoa update mpya, ukilipata hakuna dawa inatibuNa wife atapata soulmate wake, gono na ukimwi uko pale umewasubiri
Ataelewa sasa na kichwa cha chini kimeshainukaWakumbushe pia Gono la sahv limetoa update mpya, ukilipata hakuna dawa inatibu
Vineno vya kizungu vipo kuhalalisha upumbavu tu.hizo label za 'soulmate' 'other half' na nyinginezo ni uongo mtupu wa kwenye filamu watu wanajidanganyia
umeamua kuoa/kuolewa na mtu, umeingia kwenye makubaliano, unatakiwa uzingatie masharti mzee
unachoona wewe ni ile novelty bias, akili ya binadamu ina tabia ya kuona vitu vipya ni bora zaidi, hii hua inaathiri maamuzi
Usimharibie mwenzako maisha kwa tamaa zakoWanasema “ usifunge ndoa asubuhi mana hujui nani utakutana nae jioni” hatimae kwangu jioni imefika na nimekutana na mrembo alieumbwa kwa ajiri yangu.
She is beautiful, hot, real hot. Ni anaendana na mimi yani ile couple ambayo baba na mama wote ni super handsome and beauty.
My current wife is hot but not as my soulmate, i feel sorry for my wife but, I discovered the purpose of life. Time will tell.
Kaa nae uone uzuri unavyoondoka siku zinavyozidi kwenda. Ni mzuri kwasababu yeye sio mke wako.Wanasema “ usifunge ndoa asubuhi mana hujui nani utakutana nae jioni” hatimae kwangu jioni imefika na nimekutana na mrembo alieumbwa kwa ajiri yangu.
She is beautiful, hot, real hot. Ni anaendana na mimi yani ile couple ambayo baba na mama wote ni super handsome and beauty.
My current wife is hot but not as my soulmate, i feel sorry for my wife but, I discovered the purpose of life. Time will tell.