Nimekutanayo X hii [ European art V African art ]

Nimekutanayo X hii [ European art V African art ]

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Nimekutana nayo X hii European art v African art
20250215_172533.jpg

View: https://x.com/RadioGenoa/status/1888602355660157417?t=X_JSJ1zfQ6LyTgVuWrKueA&s=19
 
Sawa kabisa
Huwa viko hivi hivi na vidushe vyao nukta
Wenyewe wazungu wanajitetea humo kuwa zamani enzi za Rumi ukiwa na maumbile makubwa ulikuwa unaonekana mshenzi bado hujastaarabika hivyo wenye maumbile madogo walionekana ndio wenye akili hivyo wakaamua kutumia Sanaa za wenye maumbile madogo kuonesha namna walivyo anza staarabika toka kale tofauti na waafrika.
 
Wenyewe wazungu wanajitetea humo kuwa zamani enzi za Rumi ukiwa na maumbile makubwa ulikuwa unaonekana mshenzi bado hujastaarabika hivyo wenye maumbile madogo walionekana ndio wenye akili hivyo wakaamua kutumia Sanaa za wenye maumbile madogo kuonesha namna walivyo anza staarabika toka kale tofauti na waafrika.
Na Sasa wanatafuta hizo big cassava huko kwenye fukwe za Jamaica na carrebean ili walizike
Kwenye hili walikosea kuwaza
 
Hizo za kiafrika zipo erect, za wazungu zimelala.

Kwamba waafrika wanawaza nanilii tu masaa yote...
Wazungu humo kwenye comments wamewaka kweli wanasema waafrika wanaonekana hawajastaaribika kwa sababu mnara umesimama akili za kuwaza kwa kina hazipo zote zipo kwenye tendo.

Kuna vituko kweli humo kwenye comments
 
Na Sasa wanatafuta hizo big cassava huko kwenye fukwe za Jamaica na carrebean ili walizike
Kwenye hili walikosea kuwaza
Wazungu wamekuwa wakali kweli humo kwenye comments wanachekesha kweli
 
Ni jambo la kiutamaduni: Ilitokana na kipindi fulani watu wa ulaya walichukulia wanafalsafa na watu 'ideal' wanakuwaga hawana tamaa tamaa za kimwili sana na ndio maana wakichonga sanamu ya kupigiwa mfano inakuwa na afya njema kimwili, kiakili na kiroho.

So maumbile ndogo kwao inaonesha kujidhibiti na sio 'overindulgance' kwa mambo ya ngonongono.

Lakini kwa utamaduni wa kwetu Afrika kuwa na watoto wengi ni jambo zuri na la kupigiwa mfano, Kuwa baba lao. So kuonesha uwezo kiuzazi ni kitu nzuri tu. Ni utamaduni.

Ni ujumbe fulani, sawasawa na tunavyochorawanasiasa kuwapa midomo na vitambi vikubwa kujaribu kuonesha kitu fulani.
 
Wazungu humo kwenye comments wamewaka kweli wanasema waafrika wanaonekana hawajastaaribika kwa sababu mnara umesimama akili za kuwaza kwa kina hazipo zote zipo kwenye tendo.

Kuna vituko kweli humo kwenye comments
Wazungu wanawaza ngono hadi dhidi ya jinsia zao wenyewe ke/me hapo unaona Kuna watu!?
 
Back
Top Bottom