britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Mimi sikukutuma hilo,
Alisikika akisema
Alisikika akisema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anakiogopa kivuli ChakeFunguka mtoto wa kiume mbona unajiogopa
Mungu amuweke asee hyu mama
Nimekusoma
Huyu mama ana roho ya huruma sana,ila nimegundua wazanzibar wana utu sana,roho mbaya wanaambukizwa na mijitu ya Tanganyika
Alipigiwa simu hajapanda hata ndege KurudiMungu amuweke asee hyu mama
Its not over until its over...[emoji769]
LISSU kairudia juziNimekusoma
Jr[emoji769]
Usidanganyike wewe!!!, Huyo maza ni mzuri kwa nje/usoni lkn roho yake sidhani km inawaza mema.Siku moja alipokuwa akijibu hoja kuhusiana na tukio la Lissu alisikika akisema hivi,"Askari Polisi wamefunzwa kulenga shabaha ktk kupiga watu, Askari akikosea hata Risasi moja tu ikikosa shabaha wanamfukuza kazi".Huyu ndiyo mama Samia.Ukiutazama vizuri USO wa mama yaani unaongea kabisa kwamba she is feeling sorry for Lissu, long leave mama