Nimekutuma nyanya kwanini ulete kitunguu?

Nimekutuma nyanya kwanini ulete kitunguu?

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Mimi sikukutuma hilo,
Alisikika akisema

IMG_20200506_234133.jpg
 
Tungekuwa na mfumo mzuri wa kusimamia siasa, kwamba siasa haziwezi kuingilia mipango ya Kitaifa na Kuwajibishana kupo kulingana na Katiba, kwa wanasiasa tulionao kwa CCM, huyu Mama angekuwa moja ya machaguo yangu.
 
Ukiutazama vizuri USO wa mama yaani unaongea kabisa kwamba she is feeling sorry for Lissu, long leave mama
 
Ukiutazama vizuri USO wa mama yaani unaongea kabisa kwamba she is feeling sorry for Lissu, long leave mama
Usidanganyike wewe!!!, Huyo maza ni mzuri kwa nje/usoni lkn roho yake sidhani km inawaza mema.Siku moja alipokuwa akijibu hoja kuhusiana na tukio la Lissu alisikika akisema hivi,"Askari Polisi wamefunzwa kulenga shabaha ktk kupiga watu, Askari akikosea hata Risasi moja tu ikikosa shabaha wanamfukuza kazi".Huyu ndiyo mama Samia.
 
Back
Top Bottom