Nimekutuma nyanya kwanini ulete kitunguu?

Nimekutuma nyanya kwanini ulete kitunguu?

Usidanganyike wewe!!!, Huyo maza ni mzuri kwa nje/usoni lkn roho yake sidhani km inawaza mema.Siku moja alipokuwa akijibu hoja kuhusiana na tukio la Lissu alisikika akisema hivi,"Askari Polisi wamefunzwa kulenga shabaha ktk kupiga watu, Askari akikosea hata Risasi moja tu ikikosa shabaha wanamfukuza kazi".Huyu ndiyo mama Samia.
Sijui umenisoma vizuri? Nimesema, narudia, "ukiutazama vizuri uso" sijasema, "UKIMSIKILIZA vizuri mama"; hizo ni sentensi mbili tofauti sana; i was speaking about the body language ya mama na sio a prepared speach; ujumbe wa mtu yoyote hasa wana ccm wengi, usiwasikilize wanacho kisema, wengi huongea wasio yaamini, mfano ni issue ya chanjo ya CORONA, wale wale waliotukatalia mwanzoni, ndio hao hao leo wana sisitiza habari ya uchanjaji but all in all, ujumbe wao umejificha kwenye body language, watazame vizuri wanavyo ongea, utagundua mdomo hauna uhusiano na kile kilichopo moyoni mwao.
 
Sijui umenisoma vizuri? Nimesema, narudia, "ukiutazama vizuri uso" sijasema, "UKIMSIKILIZA vizuri mama"; hizo ni sentensi mbili tofauti sana; i was speaking about the body language ya mama na sio a prepared speach; ujumbe wa mtu yoyote hasa wana ccm wengi, usiwasikilize wanacho kisema, wengi huongea wasio yaamini, mfano ni issue ya chanjo ya CORONA, wale wale waliotukatalia mwanzoni, ndio hao hao leo wana sisitiza habari ya uchanjaji but all in all, ujumbe wao umejificha kwenye body language, watazame vizuri wanavyo ongea, utagundua mdomo hauna uhusiano na kile kilichopo moyoni mwao.
Pamoja sana Mkuu, nimekupata vizuri .
 
Usidanganyike wewe!!!, Huyo maza ni mzuri kwa nje/usoni lkn roho yake sidhani km inawaza mema.Siku moja alipokuwa akijibu hoja kuhusiana na tukio la Lissu alisikika akisema hivi,"Askari Polisi wamefunzwa kulenga shabaha ktk kupiga watu, Askari akikosea hata Risasi moja tu ikikosa shabaha wanamfukuza kazi".Huyu ndiyo mama Samia.
Aisee
 
Back
Top Bottom