Nimekutwa na UTI, Typhoid na Malaria

Nimekutwa na UTI, Typhoid na Malaria

Msaada wenu wa mawazo wakubwa,nimetoka zahanati sasa hivi kupima nimekutwa na maralia 3,typhoid na UTI 60.

Naombeni ushauri nianze dozi zote kwa pamoja ama nianze na maralia halafu baadae nipige za UTI & typhoid kwa maana nahisi nikitumia dozi zote kwa wakati mmoja naweza kuhalibu zaidi.
Haiwezekani
UTI wewe
Malaria were
Typhoid wewe
Na bado unapumua na kudunda!?[emoji3064][emoji3064][emoji3064]nakushauri kapime tena hospital kubwa..!!!
 
Unataka kusema hakuna mtu mwenye Provisional Diagnosis zaidi ya moja?

Kama yuko exposed kwenye hayo mazingira possibly ni true, kingine ni kuwa hakuna Dr. anayefanya maabara zaidi ya kusubiria majibu yanayoletea na mtaalam
I know about provisional diagnosis and all that but haiwezekani everyday Tanzanians wana those three diseases.
That's why kila siku patients wana big issues wakija hospital wanataka kucheck those three things because they are conditioned to do so.
 
I know about provisional diagnosis and all that but haiwezekani everyday Tanzanians wana those three diseases.
That's why kila siku patients wana big issues wakija hospital wanataka kucheck those three things because they are conditioned to do so.
Ambacho cha kushauri akafanye culture and sensitivity kwenye ishu ya Typhoid na UTI ila ishu ya Malaria tuna Malaria kits kila sehemu akajaribu kupima tena.....

Kama Malaria iko positive akatumie antimalarial drugs huku akifanya namna ya hizo Dx nyingine
 
Ambacho cha kushauri akafanye culture and sensitivity kwenye ishu ya Typhoid na UTI ila ishu ya Malaria tuna Malaria kits kila sehemu akajaribu kupima tena.....

Kama Malaria iko positive akatumie antimalarial drugs huku akifanya namna ya hizo Dx nyingine
Yes that's great advice.
Kama zote tatu ni positive then treatment zipo for every single one.
 
No sidhani hao wana vitu tofauti kabisa.
Madaktari wa Tanzania sometimes wana disappoint kwenye treatment.

Yeah it's possible(although from years za treating sijawahi kuona) but from my practice Typhoid,UTI and Malaria ni vitu very rare sana
Tanzanians wanaumwa vitu tofauti kabisa na everyday wanaambiwa hivyo vitu vitatu

Yeah it's possible(although from years za treating sijawahi kuona) but from my practice Typhoid,UTI and Malaria ni vitu very rare sana
Tanzanians wanaumwa vitu tofauti kabisa na everyday wanaambiwa hivyo vitu vitatu
Duh!
The issue is not Rx it's Dx kaka.

Hizo Dx zote tatu ni among the top 10 diseases kwenye medical wards (internal medicine).

Typhoid, a GIT bacterial infection through infected food/liquid.. how is not possible to acquire the infection while we eat and drink everyday?

UTI, a UT Infection that's is considered chronic/severe in all other age and sex related groups except to non-pregnant women of reproductive age where it's very common. Malaria is endemic, a very fatal infectious disease.

Clinically, it's very very possible a pt to be diagnosed with those Dx unless uniambie wewe unatibu lakini uko maeneo ambayo people are much aware of prevention methods to these diseases.

Remember, clinically their presentation also is very similar so stop pointing fingers to your fellows (including those who taught you, what's Anatomy 😁😁)
 
Back
Top Bottom