HaiwezekaniMsaada wenu wa mawazo wakubwa,nimetoka zahanati sasa hivi kupima nimekutwa na maralia 3,typhoid na UTI 60.
Naombeni ushauri nianze dozi zote kwa pamoja ama nianze na maralia halafu baadae nipige za UTI & typhoid kwa maana nahisi nikitumia dozi zote kwa wakati mmoja naweza kuhalibu zaidi.
Inategemea jinsia aliyo nayo kama ni wa kiume tunaondoa hiyo UTI bossHaiwezekani
UTI wewe
Malaria were
Typhoid wewe
Na bado unapumua na kudunda!?[emoji3064][emoji3064][emoji3064]nakushauri kapime tena hospital kubwa..!!!
I know about provisional diagnosis and all that but haiwezekani everyday Tanzanians wana those three diseases.Unataka kusema hakuna mtu mwenye Provisional Diagnosis zaidi ya moja?
Kama yuko exposed kwenye hayo mazingira possibly ni true, kingine ni kuwa hakuna Dr. anayefanya maabara zaidi ya kusubiria majibu yanayoletea na mtaalam
Aah kuuumbeeInategemea jinsia aliyo nayo kama ni wa kiume tunaondoa hiyo UTI boss
Ambacho cha kushauri akafanye culture and sensitivity kwenye ishu ya Typhoid na UTI ila ishu ya Malaria tuna Malaria kits kila sehemu akajaribu kupima tena.....I know about provisional diagnosis and all that but haiwezekani everyday Tanzanians wana those three diseases.
That's why kila siku patients wana big issues wakija hospital wanataka kucheck those three things because they are conditioned to do so.
Yes that's great advice.Ambacho cha kushauri akafanye culture and sensitivity kwenye ishu ya Typhoid na UTI ila ishu ya Malaria tuna Malaria kits kila sehemu akajaribu kupima tena.....
Kama Malaria iko positive akatumie antimalarial drugs huku akifanya namna ya hizo Dx nyingine
No sidhani hao wana vitu tofauti kabisa.
Madaktari wa Tanzania sometimes wana disappoint kwenye treatment.
Yeah it's possible(although from years za treating sijawahi kuona) but from my practice Typhoid,UTI and Malaria ni vitu very rare sana
Tanzanians wanaumwa vitu tofauti kabisa na everyday wanaambiwa hivyo vitu vitatu
Duh!Yeah it's possible(although from years za treating sijawahi kuona) but from my practice Typhoid,UTI and Malaria ni vitu very rare sana
Tanzanians wanaumwa vitu tofauti kabisa na everyday wanaambiwa hivyo vitu vitatu