nimekuwa hurted mara ya pili

je wewe canta ulishawahi kuwa hurted au bado?
Naukubwa wote huu mkuu wangu,
Nishayapitia hayo maumivu na nilijifunza mengi,
Nilitambua ili kuyajua na kuweza kuyathamin mapnz ni ukishaonja maumivu yake,
Nashukuru yale yalipita na naomba yasijirudie tena.
 
nina vichwa hapa mjini wengine wananiacha wengine nawaacha yaani fuull mathematics ila kweli sifanyi ngono

Ukianza kuharisha kwa kukosa kinga mwilini nipo tayari kukusaidia ushauri nasaha
 
asante aisha! smile unaweza ku2mikia wapenzi wa wili?

Asante kushukuru mpenz, maisha ya mapenz ndivyo yalivyo wala usikate tamaa kuwa na iman kuwa yupo wakwako ipo siku utakutana nae
 
Nimesoma mara kumi sijaelewa kabisa muandike lugha inayoeleweka sie wazee hatuelewi. Lakini pole japokuwa sijaelewa nimeona tu watu wanakupa pole namimi ngoja nijiunge nao
Bora usielewe, SMILE wa 2012 si wa 2011 anataka kuwapa TUITION au kitchen party akina dada wawatu ukumbi ni PM hall.
 
habarini wana jf, jamani mwenzenu nimekuwa hurted hii ni mara ya pili uchungu ninaoputa ni kama kidonda nisaidieni nifanyaje?

Always expect the best but get prepared for the worst.

Hii ni mara ya pili sio hoja; hija ni kuwa kila ukianguka unaweza kusimama tena kwa miguu miwili na kuendelea na safari ya mapenzi. Kaza msuli dada najua umri wako ni bila 23 yrs utaweza kupambana na masaibu yako na kuyashinda.

What more can I say, Hold on katika tasnia ya mapenzi na utampata atakaye kubembeleza maisha yako yote.
 
Pole sana bidada. Likuepukalo una heri nalo,anaonekana si mkweli kwa hiyo hata mngeoana angekusumbua tu. Bora umemgundua mapema,tulia utibu majeraha then usonge mbele. Maisha yanaendelea.
 

dogo sana hilo.yani mbona siku mbili ni nyingi utasahau kila kitu.jikip bize,sali sana na ipotezee tu.miguu mitatu wengine hayawani kabisa.pooooooleeeeeeeeee
 
Pole sana ndo mapenzi yalivyo utapata mwingine2 atayekupenda kiukweli.
 
dogo sana hilo.yani mbona siku mbili ni nyingi utasahau kila kitu.jikip bize,sali sana na ipotezee tu.miguu mitatu wengine hayawani kabisa.pooooooleeeeeeeeee
hahahahahahahahaha! we aweet gal ,kweli siye ni miguu mitatu astakhafurulah! lol hii ni laana kum.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…