Nimekuwa mraibu wa punyeto

Nimekuwa mraibu wa punyeto

masjos

Member
Joined
Nov 27, 2018
Posts
23
Reaction score
3
Jamani, mimi nimeathirika na nyeto. Nguvu za kiume nahisi kupungua; zamani ku-sex mara 5 usiku mmoja ilikuwa kawaida tu, leo moja tu chali.

Naombeni msaada nifanyeje.
 
jamani,mimi nimeathirika na nyeto nguvu za kiume nshisi kupungua zamani kusex mara 5 usiku mmoja ilikuwa kawaida tu leo moja tu chali,msaada nifanyeje
Kila siku kaka zenu tunapita humu kwenye mada zenu mkifarijiana kwamba puchu haina madhara kuwakanya ila nyie mnatutukana mnatuambia sisi starehe hatuzijui starehe mnazijua nyie sasa pata matunda ya starehe zako ulizozipata!

Hapo bado mwanamke wako hajakwambia live baada ya tendo kwamba “Sijaridhika" I swear nakuhakikishia utatamani uingie humo hata mwili mzima ili umridhishe but it's too late na ukute hela huna lazima maji utaita mma.

Subiri hapo hapo!!!
 
Kila siku kaka zenu tunapita humu kwenye mada zenu mkifarijiana kwamba puchu haina madhara kuwakanya ila nyie mnatutukana mnatuambia sisi hatujui starehe starehe mnazijua nyie sasa pata matunda ya starehe zako ulizozipata!

Hapo bado mwanamke wako hajakwambia live baada ya tendo kwamba “Sijaridhika" I swear nakuhakikishia utatamani uingie humo hata mwili mzima ili umridhishe but it's too late na ukute hela huna lazima maji utaita mma.

Subiri hapo hapo!!!
duuuuu
 
Back
Top Bottom