Natamani sana niache hii tabia lakini nashindwa kabisa,kwa mfano nikimpakia mtu kwenye mkweche wangu basi akishuka nitapafuta sana pale alipokaa tena nashindwa hata kuvumilia nifike mbali ndio nifute,sasa unakuta hata yule niliyempakia anakuwa hajafika mbali.