Nimekuwa mtu napenda chai kupita kiwango

Nimekuwa mtu napenda chai kupita kiwango

Naombeni kuuliza kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu

Nimekuwa napenda kunywa chai kila muda ninapokula chakula iwe mchana au usiku. Nahitaji kila nikila chakula basi na kikombe chachai pembeni pasina kujalisha ni chakula gani.
Wakati mwingine nahitaji tu kuinywa yenyewe

Swali langu ni je kunywa chai sana hakuna madhara kiafya?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jaribu kutumia na viungo vingine kama ule unga wa soya ilokaangwa,mdalasini n.k kuliko kunywa majani ya chai kila siku kuna tuhuma dhidi ya majani ya chai kwamba yanaleta usahaulifu,sijui kama ni kweli,ila kuhusu kupunguza uwezo wa kufanya tendo la ndoa hiyo nimeprove yanapumguza nguvu kwa kiasi fulani.
 
Jaribu kutumia na viungo vingine kama ule unga wa soya ilokaangwa,mdalasini n.k kuliko kunywa majani ya chai kila siku kuna tuhuma dhidi ya majani ya chai kwamba yanaleta usahaulifu,sijui kama ni kweli,ila kuhusu kupunguza uwezo wa kufanya tendo la ndoa hiyo nimeprove yanapumguza nguvu kwa kiasi fulani.
Mimi situmii majani ya chai ya dukani. Natumia yakienyeji na wakati mwingine mchai chai. Kuna majani yakienyeji huku Arusha na same yanauzika sana niyakienyeji mchanganyiko wa viungo vya chai kama mdalasini , iliki na vingine wanajua wao. Hayo sinawasi wasi nayo sana hofu yangu labda sukar maana hakuna sukar yakienyeji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tea.jpg
 
Naombeni kuuliza kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu

Nimekuwa napenda kunywa chai kila muda ninapokula chakula iwe mchana au usiku. Nahitaji kila nikila chakula basi na kikombe chachai pembeni pasina kujalisha ni chakula gani.
Wakati mwingine nahitaji tu kuinywa yenyewe

Swali langu ni je kunywa chai sana hakuna madhara kiafya?


Sent using Jamii Forums mobile app
Sioni tatizo. Nikuambie? Kama umefika Ulaya utashangaa jinsi chai na kahawa vilivyo vinywaji maarufu na vya muda wote. Hasa kahawa. Kuna nadharia inayosema kuwa '' anything too much is harmfull''. Hapa sasa la kujiuliza ni ''how much is too much''. Wewe unakunywa vikombe vingapi kwa siku? Unaweka sukari kiasi gani? Kwangu mimi kunywa vikombe 5 au 6 siyo vibaya mradi tu usiweke sukari au uweke kidogo. Pia jaribu kutumia ''green tea'' wanasema ina faida kuliko haya majani ya kawaida.
 
Sioni tatizo. Nikuambie? Kama umefika Ulaya utashangaa jinsi chai na kahawa vilivyo vinywaji maarufu na vya muda wote. Hasa kahawa. Kuna nadharia inayosema kuwa '' anything too much is harmfull''. Hapa sasa la kujiuliza ni ''how much is too much''. Wewe unakunywa vikombe vingapi kwa siku? Unaweka sukari kiasi gani? Kwangu mimi kunywa vikombe 5 au 6 siyo vibaya mradi tu usiweke sukari au uweke kidogo. Pia jaribu kutumia ''green tea'' wanasema ina faida kuliko haya majani ya kawaida.
Kwasiku me havizid vikombe vitatu na sukar naweka kiasi. Nashkuru sana kwa maoni yako . Mashaka yangu sasa yamekwisha acha ninywe chai maana tayar niko nakikombe cha 3 hapa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom