Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
Naombeni kuuliza kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu
Nimekuwa napenda kunywa chai kila muda ninapokula chakula iwe mchana au usiku. Nahitaji kila nikila chakula basi na kikombe chachai pembeni pasina kujalisha ni chakula gani.
Wakati mwingine nahitaji tu kuinywa yenyewe
Swali langu ni je kunywa chai sana hakuna madhara kiafya?
Sent using Jamii Forums mobile app