Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
Naombeni kuuliza kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu
Nimekuwa napenda kunywa chai kila muda ninapokula chakula iwe mchana au usiku. Nahitaji kila nikila chakula basi na kikombe chachai pembeni pasina kujalisha ni chakula gani.
Wakati mwingine nahitaji tu kuinywa yenyewe
Swali langu ni je kunywa chai sana hakuna madhara kiafya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi situmii majani ya chai ya dukani. Natumia yakienyeji na wakati mwingine mchai chai. Kuna majani yakienyeji huku Arusha na same yanauzika sana niyakienyeji mchanganyiko wa viungo vya chai kama mdalasini , iliki na vingine wanajua wao. Hayo sinawasi wasi nayo sana hofu yangu labda sukar maana hakuna sukar yakienyejiJaribu kutumia na viungo vingine kama ule unga wa soya ilokaangwa,mdalasini n.k kuliko kunywa majani ya chai kila siku kuna tuhuma dhidi ya majani ya chai kwamba yanaleta usahaulifu,sijui kama ni kweli,ila kuhusu kupunguza uwezo wa kufanya tendo la ndoa hiyo nimeprove yanapumguza nguvu kwa kiasi fulani.
Sioni tatizo. Nikuambie? Kama umefika Ulaya utashangaa jinsi chai na kahawa vilivyo vinywaji maarufu na vya muda wote. Hasa kahawa. Kuna nadharia inayosema kuwa '' anything too much is harmfull''. Hapa sasa la kujiuliza ni ''how much is too much''. Wewe unakunywa vikombe vingapi kwa siku? Unaweka sukari kiasi gani? Kwangu mimi kunywa vikombe 5 au 6 siyo vibaya mradi tu usiweke sukari au uweke kidogo. Pia jaribu kutumia ''green tea'' wanasema ina faida kuliko haya majani ya kawaida.Naombeni kuuliza kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu
Nimekuwa napenda kunywa chai kila muda ninapokula chakula iwe mchana au usiku. Nahitaji kila nikila chakula basi na kikombe chachai pembeni pasina kujalisha ni chakula gani.
Wakati mwingine nahitaji tu kuinywa yenyewe
Swali langu ni je kunywa chai sana hakuna madhara kiafya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwasiku me havizid vikombe vitatu na sukar naweka kiasi. Nashkuru sana kwa maoni yako . Mashaka yangu sasa yamekwisha acha ninywe chai maana tayar niko nakikombe cha 3 hapa mkuuSioni tatizo. Nikuambie? Kama umefika Ulaya utashangaa jinsi chai na kahawa vilivyo vinywaji maarufu na vya muda wote. Hasa kahawa. Kuna nadharia inayosema kuwa '' anything too much is harmfull''. Hapa sasa la kujiuliza ni ''how much is too much''. Wewe unakunywa vikombe vingapi kwa siku? Unaweka sukari kiasi gani? Kwangu mimi kunywa vikombe 5 au 6 siyo vibaya mradi tu usiweke sukari au uweke kidogo. Pia jaribu kutumia ''green tea'' wanasema ina faida kuliko haya majani ya kawaida.
Du. Halafu ukasema unakunywa chai nyingi? Hiyo ni kidogo.Kwasiku me havizid vikombe vitatu na sukar naweka kiasi. Nashkuru sana kwa maoni yako . Mashaka yangu sasa yamekwisha acha ninywe chai maana tayar niko nakikombe cha 3 hapa mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliona ninyingi maana nikila siku asubuh, mchana na jion ndomana kwangu nikaona nyingi. Kiuhalisia me nlihisi nakunywa chai zaid yakiwango kumbe sijafika hata kiwango cha wanywaji chai. Nikohuru sasa kunywa chai yanguDu. Halafu ukasema unakunywa chai nyingi? Hiyo ni kidogo.