Nimekuwa muoga kuomba namba kwa wasichana

Kuwa na mtu kwake ama kutokuwa nae kote kunategemeana na nini utakifanya baada ya kupewa namba. Hawa viumbe ni kama ng'ombe wa mnada, mwenye dau kubwa ndio anaechukua mzigo.
 
Jiamini tu ni rahisi sans
 
Fanya kazi mkuu achana Na hivyo viumbe, watakuja wenyewe, wewe focus kwenye malengo yako usiwaamini hao.
Goood idea mkuu... Umefanya conclusion
 
1. Kujipanga (diverse/varried interpretations)
2. Potential (diverse/varried interpretations)
Fikirishi sana hizi points
Mkuu badili kwa kiswahili hiyo lugha tukuelewe
 
Wenzako hizo namba tunazikimbia...
Kupewa namba ni suala moja, kupokea simu yako ni suala jingine, alafu kuna mizinga hilo ni suala jingine kabisa.
[emoji3][emoji3][emoji3] mkuu inawekana unapigwa sanaa virungu
 
1) Masturbation effect
2) Jipange kupangua hoja ndogo ndogo kama "nina mtu wangu" kwa maneno yenye ucheshi kama "basi mi nichukulie kama malaika" na mengineyo

Hiyo namba moja sina uhakika sana[emoji1787]
Hiyo namba moja itoe Mkuu, nyeto haina hayo mambo ya kuogopa ogopa wanawake
 
Jifanye una side hustle ya vitu vya kike kama Victoria Secret's mist, perfumes, lotions, nguo, viatu, miwani ya kike etc...
Uza kwa bei ya chini sana bila faida.
Utapata numbers mpaka utachoka ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…