Nimekuwa muoga kuomba namba kwa wasichana

Nimekuwa muoga kuomba namba kwa wasichana

Vp guyz...

Nina tatizo ambalo sijui ni kwanini lina nikumba.. kila nikimuona manzi nahisi kama ana mtu yani najikuta muoga kuomba namba.. coz nipo kwnye process za kutafuta mchumba ila kujiamini kwangu kumepotea kabisaa yaan!?

Nipeni uzoefu wenu wanaJF
Duuh
 
Back
Top Bottom