Nimekuwa na mahusiano na mume wa mtu kwa miaka 3 nahitaji kuachana naye, nimuachaje bila yeye kuweka kinyongo

Kwa Africa mwanamke kutembea na mume wa mtu siyo kesi kesi na ni hatari mwanaume kutembea na mke wa mtu
Kumbeeee....ni kwamba wanawake wnalenda kushare 🍆🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mnawapaga vitu gani wanaume wenzetu maboya ao husikute hata wazaz wake kijiji wanaishi maisha duni wadogo zake Kula Yao nishida
Wala sio maboya, kila mmoja ana uwezo wake wa kuhonga!
 
Ukimuacha kiajabu ajabu unaweza kwenda mbinguni bila kutarajia.tiketi nzuri ya kusafiria anga na usirudi tena duniani ni mapenzi kwa sasa.chomoka bila hata kumgusa.kuwa makini kakugharamia huyo na amefanya ivyo akijua wewe ni wake tu ili usiende sehemu nyingine na wala usitamani cha mtu.that y amekugharamia hivyo.
Fanya hivi mpeleleze mkewe mchonganishe na mkewe .ili mkewe afanye amekugundua wewe mchepuko.kama atakuwa na nguvu huyo mke mwenzio atatakiwa kuchagua wewe au yeye.
Kama ni muislaam itakuwa imekula kwako utakuwa mke wa pili
La sivyo baada ya uwo ugomvi utajidai umekimbia vurugu za mkewe nawe unakuwa unaliungurumisha na huyo mkewe jamaa atachoka ugomvi itabidi akuache
 
Dada tunaomba update!

NB: hilo penzi jipya litakuponza, nina mifano miwili ya waliokimbilia true love na kuacha mme wa mtu....wamepaukaje sasa in the pursuit ya kuitwa Mrs , lol wanajutaa

Soon
 

Hahaaa
 

Cant take that chance. Soon naleta updates of what i did.
 
Naandiks kwa herufi kubwa DADA SIKU ZA MWANaDAMU KUISHI NI CHACHE TUBU MAANA UNAKARIBIA KUFA
Ujue mtu akiwa anakaribia kufa anawqshwa washwa kama wewe sahiz [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbona simple tu. Mrudishie gari. Mrudishie nyumba. Anza upya tu na huyo bwege wako ndio utakapokuja kujua kwamba kumbe ulikuwa unamuacha ksbb tayari amekupa ujanja mjini. Ukajua utaendelea kuwa navyo hata usipokuwa nae
Kuna ndugu yangu alimuacha mwanaume ambaye alikuwa anampa kila kitu pamoja na kumhudumia mtoto wake mwenye ulemavu. Si akapata kijana mwingine. Akaachana na yule baba na kuolewa na huyo kijana. Sasa hivi anajuta na ile ndoa kule imekufa na yule kijana wameshaachana. Kumbe yule kijana alipendea hela ambazo alikuwa anapewa na huyo baba. Yule baba ni muislam alikuwa na mpango wa kumuoa kama mke wa pili. Yule baba saizi kaoa mke wake mwingine kamnunulia gari na nyumba safi. Yule dada yuko tu anadanga na majuba yake
 
Ikifka muda wa kutaka tuachane,hakikisha kuwa unanirudishia gharama zangu zote,kuanzia kodi,mavazi na nyumba niliyokujengea!

Maisha magumu yanawapeleka vibaya,shida zikiisha mnaanza kutaman kutoka!

Nakusubiria leo unikabidhi TUACHANE!

NIKO SERIOUS
 
Huna akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…