Nimekuwa teja wa matumizi ya simu, naachaje?

Nimekuwa teja wa matumizi ya simu, naachaje?

Kugundua tatizo ndio mwanzo kutatua tatizo ,,,tupo wengi lkn kikubwa ni kuamua tu kupunguza
 
Nikiingia kitandani naanza kupiga mizunguko jamiiforums, quora, youtube, fb, ressit, whatsapp, n.k yani kama huko reddit nikiingia subredits kama askreddit, off my chest, today i learned, iama, just start, n.k ndo mda unapepea si mchezo

Kuja kustuka saa nane ishagonga hapo na inabidi niamke saa 12 na nusu kujiandaa kwenda kazini, siku nyingine naamka saa moja kwajili ya uchovu.

Yani imekuwa kama uraibu sasa hadi nimeanza kujiogopa.

Kuhusu bando sina uhaba kabisa maana kila siku nina allowance ya gb 3.

Nashukuru jitihada za mke wangu kunishauri lakini imekuwa ngumu sana kuacha hii tabia. (Wenzangu wenye familia sihitaji kuwawekea maelezo ya ziada ila sitashangaa wavulana wakianza kufikiria kwamba sitekelezi wajibu flani ili kuonekana wajuaji 😂😂 )
Ni Kama mimi
 
Yaani niwe na mwanaume tumelala usiku, asinikumbatie mimi mkewe, yeye na simu, siwezi ni uamue kati yangu na simu, simple as that.
Dah,we mke mwema, sisi Wengine ukilikumbatia likali, ukitaka Cha usiku linakuambia subiria asubui, ikifika asubui anakuambia Hadi pakuche anywe chai, aisee Kuna wanawake Ni wavivu Sana,ndio maana tunachepuka
 
Yani Hadi nimehisi nakufahamu mkuu kwa hizi addiction
 
kuwa mkweli hapo kwenye kurasa unazotembeleaga.

Utaje hata zile unazofungaga fasta wife akigeuka usingizini.

Iwe Telegram, iwe Brazzers we taja tu haupo alone.
 
Back
Top Bottom