Nimekwama ada, naombeni msaada wenu.

Nimekwama ada, naombeni msaada wenu.

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Jamani ndugu zanguni salaam.
Mpendwa wenu nimekwama ada, natamani kusoma na nia ninayo, ila tatizo ni mfumo uliopo.
Naomba nikipata mfadhili akalipe moja kwa moja chuo kikuu cha elimu ya watu wazima.
 
Jamani ndugu zanguni salaam.
Mpendwa wenu nimekwama ada, natamani kusoma na nia ninayo, ila tatizo ni mfumo uliopo.
Naomba nikipata mfadhili akalipe moja kwa moja chuo kikuu cha elimu ya watu wazima.

Itisha ndugu wambie unaoa .
Ikishatimia ada wambie mchumba ameingia kwa mtini kalipe shule
Wenzetu Kenya wanachangia elimu hapa bado tunachangia ngoma na pombe
 
Itisha ndugu wambie unaoa .Ikishatimia ada wambie mchumba ameingia kwa mtini kalipe shuleWenzetu Kenya wanachangia elimu hapa bado tunachangia ngoma na pombe
natamani kutukana kwa hasira.Tusi nililo tukana kimoyomoyo wote mmelijua.Nina hasira kinoma.
 
Back
Top Bottom