Mkiitwa NGUMBARU mnasema tunawadharau. Samahani lakiniBaada ya kujaza fomu mtandaoni, nikalipia Nika download, Sasa hivi vipengele sijavielewa:
7. Wadhamini wa mwombaji: naomba kufahamu Kama wadhamini Ni lazima wawe Ndugu wa damu au hata marafiki tu...
Wanakuja kukupa muongozoBaada ya kujaza fomu mtandaoni, nikalipia Nika download, Sasa hivi vipengele sijavielewa:
7. Wadhamini wa mwombaji: naomba kufahamu Kama wadhamini Ni lazima wawe Ndugu wa damu au hata marafiki tu...
Alafu kwenye Uzi wa kimasikhara π πJf ipo busy MMU
Ana kosa gani mleta mada?Mkiitwa NGUMBARU mnasema tunawadharau
Kama maswali rahis hivyo haelewi. Passport ya nini?. Atafute Kitambulisho cha mjasiriamali kinamtoshaAna kosa gani mleta mada?
Chief km unajua mwelekeze km hujui bora upige kimyaKama maswali rahis hivyo haelewi. Passport ya nini?. Atafute Kitambulisho cha mjasiriamali kinamtosha
Kiazi Mbatata aka ZombiBaada ya kujaza fomu mtandaoni, nikalipia Nika download, Sasa hivi vipengele sijavielewa:
7. Wadhamini wa mwombaji: naomba kufahamu Kama wadhamini Ni lazima wawe Ndugu wa damu au hata marafiki tu.
9. Shuhuda kwa mwombaji:
Naomba kufahamu kama huyo shuhuda ni ndugu au Ni mwajiri au Ni hakimu au Ni afisa wa uhamiaji.
Je, siku ya kuwasilisha fomu Ofisi ya uhamiaji napaswa kwenda na shngapi?
Na je napaswa kuwasilisha fomu Ofisini siku ngapi baada ya ku download ( yaani isizidi siku ngapi)?
Mheshimiwa Maxence Melo uliwahi kumpiga ndug yangu Bann ya miezi 3 kwa kosa la kutumia lugha mbaya. Leo nakaa kimya ninapojibiwa bila staha. Jf inakuwa na double standards na uongozi mmekaa kimya tu π€π€Mkiitwa NGUMBARU mnasema tunawadharau. Samahani lakini
Victoire pitia hapa....Baada ya kujaza fomu mtandaoni, nikalipia Nika download, Sasa hivi vipengele sijavielewa:
7. Wadhamini wa mwombaji: naomba kufahamu Kama wadhamini Ni lazima wawe Ndugu wa damu au hata marafiki tu.
9. Shuhuda kwa mwombaji:
Naomba kufahamu kama huyo shuhuda ni ndugu au Ni mwajiri au Ni hakimu au Ni afisa wa uhamiaji.
Je, siku ya kuwasilisha fomu Ofisi ya uhamiaji napaswa kwenda na shngapi?
Na je napaswa kuwasilisha fomu Ofisini siku ngapi baada ya ku download ( yaani isizidi siku ngapi)?
7. Mdhamini anaweza kua mtu yeyote either ndugu au rafiki anayepatikana eneo jirani na ulipo.Baada ya kujaza fomu mtandaoni, nikalipia Nika download, Sasa hivi vipengele sijavielewa:
7. Wadhamini wa mwombaji: naomba kufahamu Kama wadhamini Ni lazima wawe Ndugu wa damu au hata marafiki tu.
9. Shuhuda kwa mwombaji:
Naomba kufahamu kama huyo shuhuda ni ndugu au Ni mwajiri au Ni hakimu au Ni afisa wa uhamiaji.
Je, siku ya kuwasilisha fomu Ofisi ya uhamiaji napaswa kwenda na shngapi?
Na je napaswa kuwasilisha fomu Ofisini siku ngapi baada ya ku download ( yaani isizidi siku ngapi)?
7. Mdhamini mtu yeyoteBaada ya kujaza fomu mtandaoni, nikalipia Nika download, Sasa hivi vipengele sijavielewa:
7. Wadhamini wa mwombaji: naomba kufahamu Kama wadhamini Ni lazima wawe Ndugu wa damu au hata marafiki tu.
9. Shuhuda kwa mwombaji:
Naomba kufahamu kama huyo shuhuda ni ndugu au Ni mwajiri au Ni hakimu au Ni afisa wa uhamiaji.
Je, siku ya kuwasilisha fomu Ofisi ya uhamiaji napaswa kwenda na shngapi?
Na je napaswa kuwasilisha fomu Ofisini siku ngapi baada ya ku download ( yaani isizidi siku ngapi)?