Jane Msowoya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,302
- 7,815
Watu wapo kwenye kula tunda kimasiharaJf ipo busy MMU
Nimecheka sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wapo kwenye kula tunda kimasiharaJf ipo busy MMU
Ahsante mkuu7. Mdhamini ni mtu anayekufahamu vizuri anayeweza kujibu maswali kuhusu wewe akiulizwa.
8. Shuhuda ni wakili au mwanasheria.
Pia soma hiyo fomu Ina maelekezo yote ya namna ya kulipia nakumbuka Kama ukishalipa elfu thelathini ukaweza kujaza fomu wakati unapeleka hard copy unalipa laki na ishirini.
Siku mbaya Jf@ MshanaKiazi Mbatata aka Zombi
anataka passport ya nini wakati maswali basic tu hawez?
Piga hela za NGUMBARU hao
Wewe ni mpumbavu toa msaada na siyo kutukanaMkiitwa NGUMBARU mnasema tunawadharau. Samahani lakini
Ngumbaru ni kitu gani mkuu samahani lakini nataka nione kama mwamba anafit kwenye hilo jina au vipiMkiitwa NGUMBARU mnasema tunawadharau. Samahani lakini
Wewe ni zezetaBaada ya kujaza fomu mtandaoni, nikalipia Nika download, Sasa hivi vipengele sijavielewa:
7. Wadhamini wa mwombaji: naomba kufahamu Kama wadhamini Ni lazima wawe Ndugu wa damu au hata marafiki tu.
9. Shuhuda kwa mwombaji:
Naomba kufahamu kama huyo shuhuda ni ndugu au Ni mwajiri au Ni hakimu au Ni afisa wa uhamiaji.
Je, siku ya kuwasilisha fomu Ofisi ya uhamiaji napaswa kwenda na shngapi?
Na je napaswa kuwasilisha fomu Ofisini siku ngapi baada ya ku download ( yaani isizidi siku ngapi)?
we kweli ngumbaru uliyechanganyika na ufuzi wa ngamiaWote ndo nyie nyie! Maswal yapo Kiswahili hujaelewa nini?
ni aina nyingine za uzembe na ujinga!!sisi wengi pass tulizapata bure na kuletewa tulipo hata hatujui mchakato ukoje
Kabisani aina nyingine za uzembe na ujinga!!
Msaidie acha dharau mkuuMkiitwa NGUMBARU mnasema tunawadharau. Samahani lakini
Asaidiwe nn boyaMsaidie acha dharau mkuu