Nimekwama kwenye uendeshaji wa kampuni

Nimekwama kwenye uendeshaji wa kampuni

Sawa mkuu nimetembelea Equity,nmb,crdb kwanza wanataka Bank statement iliyopitisha pesa miezi 6 wakati mimi mradi unamiezi miwili lakini pia wanataka dhamana ambayo either ni mali ya kampuni au mmiliki at the same time ndo kwanza najitafuta japo kwenye dhamana sio issue yupo mtu wa kunibeba kwenye hilo ila ndo sio vigezo vyao.
Nenda EFL MICROFINANCE utapata hio pesa
 
Back
Top Bottom