Nimelala katikati ya lami nisikanyagwe na semi. Ningekuwa chapati

Nimelala katikati ya lami nisikanyagwe na semi. Ningekuwa chapati

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Nimetoka kuangalia mechi ya mtibwa na kmc nikawa navuka barabara hamaaadi semitrailer hii hapa Mimi nikiwa katikati ya lami . Walioniona wakapiga kelele na kufumba macho wakijua nimeshakanyagwa kumbe siku zangu bado nikajitupa haraka chini ya semi likapita juu yangu kuanzia kichwa mpaka kontena lote.
Sina hata mchubuko nasasa nakunywa K vant.

Mkulungwa makusudi.
 
Nimetoka kuangalia mechi ya mtibwa na kmc nikawa navuka barabara hamaaadi semitrailer hii hapa Mimi nikiwa katikati ya lami . Walioniona wakapiga kelele na kufumba macho wakijua nimeshakanyagwa kumbe siku zangu bado nikajitupa haraka chini ya semi likapita juu yangu kuanzia kichwa mpaka kontena lote.
Sina hata mchubuko nasasa nakunywa K vant.

Mkulungwa makusudi.
Acha uongo weka picha!
 
Uzi tayari
Nimetoka kuangalia mechi ya mtibwa na kmc nikawa navuka barabara hamaaadi semitrailer hii hapa Mimi nikiwa katikati ya lami . Walioniona wakapiga kelele na kufumba macho wakijua nimeshakanyagwa kumbe siku zangu bado nikajitupa haraka chini ya semi likapita juu yangu kuanzia kichwa mpaka kontena lote.
Sina hata mchubuko nasasa nakunywa K vant.

Mkulungwa makusudi.
 
Nimetoka kuangalia mechi ya mtibwa na kmc nikawa navuka barabara hamaaadi semitrailer hii hapa Mimi nikiwa katikati ya lami . Walioniona wakapiga kelele na kufumba macho wakijua nimeshakanyagwa kumbe siku zangu bado nikajitupa haraka chini ya semi likapita juu yangu kuanzia kichwa mpaka kontena lote.
Sina hata mchubuko nasasa nakunywa K vant.

Mkulungwa makusudi.
Ahahahaha hahahahahahhah! Mkuu umetisha, kumbe k vant si mchezo
 
Unatamani sana ungetokewa na hili. Lakini siku likikufika hautapata hata hamu ya kushika simu.
 
Unatamani sana ungetokewa na hili. Lakini siku likikufika hautapata hata hamu ya kushika simu.
Hana akili huyo, enzi za childhood nilikuwa naendesha baiskeli njiani nikakuta mtu kagongwa na gari alikuwa anaendesha baiskeli, mwamba kadedi, nilishuka kwenye baiskeli yangu sikupanda tena hadi home na sikuendesha baiskeli karibia miezi miwili
 
Back
Top Bottom