Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
soda mwelekaHaya ndio matatizo ya kuanzisha thread wakati umesha lewa....
Mkuu, watu Kama wewe ndio wana haribu sifa ya sodamweleka...[emoji482]
Nimetoka kuangalia mechi ya mtibwa na kmc nikawa navuka barabara hamaaadi semitrailer hii hapa Mimi nikiwa katikati ya lami . Walioniona wakapiga kelele na kufumba macho wakijua nimeshakanyagwa kumbe siku zangu bado nikajitupa haraka chini ya semi likapita juu yangu kuanzia kichwa mpaka kontena lote.
Sina hata mchubuko nasasa nakunywa K vant.
Mkulungwa makusudi.
Mkuu sio kama watu wanapenda ufe hapana,ila kila wakijaribu kuvuta hisia za urefu kutoka ardhini hadi kwenye kichwa cha semi trailer ambayo sijui ni Scania113,94 or hata 124 uwezekano wa ww kutoka ukiwa salama bin salmin ni Mdogo sanaaa..hiyo distance ni ndogo mnoo halafu ukijumlisha na kitete or wasiwasi ambao utakuwa nao lazima walau suruali ilowe kama sio kwa mbele basi kwa nyuma..hicho ulichokizungumza huwa Jack Chain na wenzake wanapigiaga fix na kuingiza hela,sasa ww unataka utupige fix hivi hivi za kina Jack chain?mkuu ujue tuko uchumi wa kati sasa..Many people here in jamiiforums are insane I narrowly escaped death instead of thanking God for saving ur comrade u r insulting me and showing signs of disbelief did u want me dead so u can send ur hypocris condolences?
Tomaso at his best epicMkuu sio kama watu wanapenda ufe hapana,ila kila wakijaribu kuvuta hisia za urefu kutoka ardhini hadi kwenye kichwa cha semi trailer ambayo sijui ni Scania113,94 or hata 124 uwezekano wa ww kutoka ukiwa salama bin salmin ni Mdogo sanaaa..hiyo distance ni ndogo mnoo halafu ukijumlisha na kitete or wasiwasi ambao utakuwa nao lazima walau suruali ilowe kama sio kwa mbele basi kwa nyuma..hicho ulichokizungumza huwa Jack Chain na wenzake wanapigiaga fix na kuingiza hela,sasa ww unataka utupige fix hivi hivi za kina Jack chain?mkuu ujue tuko uchumi wa kati sasa..
Hebu kakae tena!Nimetoka kuangalia mechi ya mtibwa na kmc nikawa navuka barabara hamaaadi semitrailer hii hapa Mimi nikiwa katikati ya lami . Walioniona wakapiga kelele na kufumba macho wakijua nimeshakanyagwa kumbe siku zangu bado nikajitupa haraka chini ya semi likapita juu yangu kuanzia kichwa mpaka kontena lote.
Sina hata mchubuko nasasa nakunywa K vant.
Mkulungwa makusudi.
Wwe Sasa hivi utasababisha K,Vant ipigwe marufuku!!Nimetoka kuangalia mechi ya mtibwa na kmc nikawa navuka barabara hamaaadi semitrailer hii hapa Mimi nikiwa katikati ya lami . Walioniona wakapiga kelele na kufumba macho wakijua nimeshakanyagwa kumbe siku zangu bado nikajitupa haraka chini ya semi likapita juu yangu kuanzia kichwa mpaka kontena lote.
Sina hata mchubuko nasasa nakunywa K vant.
Mkulungwa makusudi.
Acha uongo weka picha!
Mleta mada kaitaja K,Vant na wala hajataja bangi,mbona mnapenda kuisingizia Bangi sana!?Hivi ni bangi au bange?Haya majina mawili huwa yanachanganya sana