Acha uongo weka picha!Nimetoka kuangalia mechi ya mtibwa na kmc nikawa navuka barabara hamaaadi semitrailer hii hapa Mimi nikiwa katikati ya lami . Walioniona wakapiga kelele na kufumba macho wakijua nimeshakanyagwa kumbe siku zangu bado nikajitupa haraka chini ya semi likapita juu yangu kuanzia kichwa mpaka kontena lote.
Sina hata mchubuko nasasa nakunywa K vant.
Mkulungwa makusudi.
Member ndio wanaharibu sifa njema kabisa ya mvinyo...🥃Kwahiyo umeandika hii habari huku unaendelea kunywa kvant basi ndo maana
Kabisa wengine wakinywa wanawaza vitu vya maana yeye anawaza kulala chini ya semiMember ndio wanaharibu sifa njema kabisa ya mvinyo...🥃
Nimetoka kuangalia mechi ya mtibwa na kmc nikawa navuka barabara hamaaadi semitrailer hii hapa Mimi nikiwa katikati ya lami . Walioniona wakapiga kelele na kufumba macho wakijua nimeshakanyagwa kumbe siku zangu bado nikajitupa haraka chini ya semi likapita juu yangu kuanzia kichwa mpaka kontena lote.
Sina hata mchubuko nasasa nakunywa K vant.
Mkulungwa makusudi.
Ahahahaha hahahahahahhah! Mkuu umetisha, kumbe k vant si mchezoNimetoka kuangalia mechi ya mtibwa na kmc nikawa navuka barabara hamaaadi semitrailer hii hapa Mimi nikiwa katikati ya lami . Walioniona wakapiga kelele na kufumba macho wakijua nimeshakanyagwa kumbe siku zangu bado nikajitupa haraka chini ya semi likapita juu yangu kuanzia kichwa mpaka kontena lote.
Sina hata mchubuko nasasa nakunywa K vant.
Mkulungwa makusudi.
Haya ndio matatizo ya kuanzisha thread wakati umesha lewa....
Mkuu, watu Kama wewe ndio wana haribu sifa ya sodamweleka...
Hana akili huyo, enzi za childhood nilikuwa naendesha baiskeli njiani nikakuta mtu kagongwa na gari alikuwa anaendesha baiskeli, mwamba kadedi, nilishuka kwenye baiskeli yangu sikupanda tena hadi home na sikuendesha baiskeli karibia miezi miwiliUnatamani sana ungetokewa na hili. Lakini siku likikufika hautapata hata hamu ya kushika simu.