Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Umeshapiga kura?We sio msemaji wetu, sipigagi kura ila mwaka huu naenda kupigia TAL.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshapiga kura?We sio msemaji wetu, sipigagi kura ila mwaka huu naenda kupigia TAL.
Mjinga ni asiye juwa kama ni mjinga mjinga ni yule ana danganywa bila yeye kujuwa!Tunafuraha ndiyo. Tumewazuia majizi nyie. Wajinga ni wale waliodhani Tundu Lisu atashinda wakiwa 8500 KM. Think about it.
Wakudadavuwa safari yako imekuwa na manufaa makubwa.
Mjinga ni asiye juwa kama ni mjinga mjinga ni yule ana danganywa bila yeye kujuwa!
Mjinga ni yule ambaye huona giza ni mwanga
Hukuchagua. Kura zilipigwa na makada zikawekwa vituoni. Bora ungelalamika hayo kama kura zetu zingehesabika. Ndo maana iliwalazimu kubeba wanafunzi na wanamiziki ili muonekanae mnapendwa. take it from me, zingehesabika kura halali hata milioni moja msingeipata kwasababu nchi ilisha washinda kipindi cha miaka mitano. Ndo maana jeshi ndo limeshika hatamu kwa kila sekta.Ndugu zangu,
Imenilazimu kusafiri kilometa takribani 1000 ili kumuonesha Robert Amsterdam kuwa hawezi kutupangia nani awe Rais wa Tanzania.
Ushindi upo ila tunataka uwe wa kishindo ili akome, apate fundisho yeye na mawakala wake.
Nimeahirisha kufanya biashara ya mamilioni ili kuilinda nchi yangu dhidi ya mabwanyenye.
Umuhimu wa kusafiri kupiga kura ya kizalendo ni kuepuka aibu kwa vizazi vijavyo watanilaumu wakisema "Babu na wenzio mlikuwa wapi hadi mkaruhusu Robert akapandikiza kiongozi?" hapana, sikubali lawama hii kamwe ndio maana nimesafiri kilometa zaidi ya 1000 kuwakomesha wanyonyaji hawa. Kamwe hatutaruhusu yale yaliyotokea mwaka 1884/5 kwenye mkutano wa Berlin yajirudie.
Tanzania ni nchi huru, tutachagua viongozi wetu wenyewe bila kupangiwa. Tanzania kwanza!
Kule Njombe na Tunduma CCM wawili wameuawa na waliofanya mauaji ni wanachadema baada ya kelele na kuchagizwa na beberu AmsterdamPolisi wameua wanne usiku huu huko Pemba. Hiyo ni kete nyingine ya wakili Amsterdam.
Nipo kwenye vikao vya kamati ya CCM vinavyo endelea huku DodomaKamanda upo
Umetumia nauli ya bure ndugu.Ilikuwa rahisi tu,kura yako ingebebwa kwenye begi na za wenzako.Ndugu zangu,
Imenilazimu kusafiri kilometa takribani 1000 ili kumuonesha Robert Amsterdam kuwa hawezi kutupangia nani awe Rais wa Tanzania.
Ushindi upo ila tunataka uwe wa kishindo ili akome, apate fundisho yeye na mawakala wake.
Nimeahirisha kufanya biashara ya mamilioni ili kuilinda nchi yangu dhidi ya mabwanyenye.
Umuhimu wa kusafiri kupiga kura ya kizalendo ni kuepuka aibu kwa vizazi vijavyo watanilaumu wakisema "Babu na wenzio mlikuwa wapi hadi mkaruhusu Robert akapandikiza kiongozi?" hapana, sikubali lawama hii kamwe ndio maana nimesafiri kilometa zaidi ya 1000 kuwakomesha wanyonyaji hawa. Kamwe hatutaruhusu yale yaliyotokea mwaka 1884/5 kwenye mkutano wa Berlin yajirudie.
Tanzania ni nchi huru, tutachagua viongozi wetu wenyewe bila kupangiwa. Tanzania kwanza!
Safi sana, uchaguzi umeisha sasa weka hadharani biashara zako ili ulipe kodi stahili tujenge uchumiNdugu zangu,
Nimeahirisha kufanya biashara ya mamilioni ili kuilinda nchi yangu dhidi ya mabwanyenye.
Yap.. zile za mabegi na sandarusiKura za thamani zipo CCM
Bwege tu weweNdugu zangu,
Imenilazimu kusafiri kilometa takribani 1000 ili kumuonesha Robert Amsterdam kuwa hawezi kutupangia nani awe Rais wa Tanzania.
Ushindi upo ila tunataka uwe wa kishindo ili akome, apate fundisho yeye na mawakala wake.
Nimeahirisha kufanya biashara ya mamilioni ili kuilinda nchi yangu dhidi ya mabwanyenye.
Umuhimu wa kusafiri kupiga kura ya kizalendo ni kuepuka aibu kwa vizazi vijavyo watanilaumu wakisema "Babu na wenzio mlikuwa wapi hadi mkaruhusu Robert akapandikiza kiongozi?" hapana, sikubali lawama hii kamwe ndio maana nimesafiri kilometa zaidi ya 1000 kuwakomesha wanyonyaji hawa. Kamwe hatutaruhusu yale yaliyotokea mwaka 1884/5 kwenye mkutano wa Berlin yajirudie.
Tanzania ni nchi huru, tutachagua viongozi wetu wenyewe bila kupangiwa. Tanzania kwanza!
Polisi wanaua wangapi Amerika kila siku ya Mungu? Wengi wao wakiwa wa rangi yako.Polisi wameua wanne usiku huu huko Pemba. Hiyo ni kete nyingine ya wakili Amsterdam.
Nipo kwenye vikao vya kamati ya CCM vinavyo endelea huku Dodoma
Umetumia nauli ya bure ndugu.Ilikuwa rahisi tu,kura yako ingebebwa kwenye begi na za wenzako.
Anyway umesahau kuweka namba ya simu.
Safi sana, uchaguzi umeisha sasa weka hadharani biashara zako ili ulipe kodi stahili tujenge uchumi
Mdomo huuTanzania soon we are going to celebrate landmark referendum victory after voters threw out the constitution left by ccm 1977 regime of dictator Nyerere
Chakula au shonzaUmekula?