Uchaguzi 2020 Nimelazimika kusafiri takriban kilometa 1000 kumzuia Robert Amsterdam na CHADEMA

Uchaguzi 2020 Nimelazimika kusafiri takriban kilometa 1000 kumzuia Robert Amsterdam na CHADEMA

Tunafuraha ndiyo. Tumewazuia majizi nyie. Wajinga ni wale waliodhani Tundu Lisu atashinda wakiwa 8500 KM. Think about it.
Mjinga ni asiye juwa kama ni mjinga mjinga ni yule ana danganywa bila yeye kujuwa!
Mjinga ni yule ambaye huona giza ni mwanga
 
Ndugu zangu,

Imenilazimu kusafiri kilometa takribani 1000 ili kumuonesha Robert Amsterdam kuwa hawezi kutupangia nani awe Rais wa Tanzania.

Ushindi upo ila tunataka uwe wa kishindo ili akome, apate fundisho yeye na mawakala wake.

Nimeahirisha kufanya biashara ya mamilioni ili kuilinda nchi yangu dhidi ya mabwanyenye.

Umuhimu wa kusafiri kupiga kura ya kizalendo ni kuepuka aibu kwa vizazi vijavyo watanilaumu wakisema "Babu na wenzio mlikuwa wapi hadi mkaruhusu Robert akapandikiza kiongozi?" hapana, sikubali lawama hii kamwe ndio maana nimesafiri kilometa zaidi ya 1000 kuwakomesha wanyonyaji hawa. Kamwe hatutaruhusu yale yaliyotokea mwaka 1884/5 kwenye mkutano wa Berlin yajirudie.

Tanzania ni nchi huru, tutachagua viongozi wetu wenyewe bila kupangiwa. Tanzania kwanza!
Hukuchagua. Kura zilipigwa na makada zikawekwa vituoni. Bora ungelalamika hayo kama kura zetu zingehesabika. Ndo maana iliwalazimu kubeba wanafunzi na wanamiziki ili muonekanae mnapendwa. take it from me, zingehesabika kura halali hata milioni moja msingeipata kwasababu nchi ilisha washinda kipindi cha miaka mitano. Ndo maana jeshi ndo limeshika hatamu kwa kila sekta.
Trafiki wa barabarani ndo sasa hivi ni TRA. Nenda kariakoo maduka ya maana siku hizi hakuna.
Quality Centre ( Mtava) maduka takribani yote yamewekwa kufuri, kiufupi nchi imesimama. Kama jiwe ataendele kushupaa miaka mingine mitano tutakuwa kama wazimbabwe.
 
Polisi wameua wanne usiku huu huko Pemba. Hiyo ni kete nyingine ya wakili Amsterdam.
Kule Njombe na Tunduma CCM wawili wameuawa na waliofanya mauaji ni wanachadema baada ya kelele na kuchagizwa na beberu Amsterdam
 
Ndugu zangu,

Imenilazimu kusafiri kilometa takribani 1000 ili kumuonesha Robert Amsterdam kuwa hawezi kutupangia nani awe Rais wa Tanzania.

Ushindi upo ila tunataka uwe wa kishindo ili akome, apate fundisho yeye na mawakala wake.

Nimeahirisha kufanya biashara ya mamilioni ili kuilinda nchi yangu dhidi ya mabwanyenye.

Umuhimu wa kusafiri kupiga kura ya kizalendo ni kuepuka aibu kwa vizazi vijavyo watanilaumu wakisema "Babu na wenzio mlikuwa wapi hadi mkaruhusu Robert akapandikiza kiongozi?" hapana, sikubali lawama hii kamwe ndio maana nimesafiri kilometa zaidi ya 1000 kuwakomesha wanyonyaji hawa. Kamwe hatutaruhusu yale yaliyotokea mwaka 1884/5 kwenye mkutano wa Berlin yajirudie.

Tanzania ni nchi huru, tutachagua viongozi wetu wenyewe bila kupangiwa. Tanzania kwanza!
Umetumia nauli ya bure ndugu.Ilikuwa rahisi tu,kura yako ingebebwa kwenye begi na za wenzako.
Anyway umesahau kuweka namba ya simu.
 
Vijana Wamekosa Kazi Miaka Nenda Rudi Ila hakuna mwanasiasa aliyesema waandamane,Juzi wakina Faru john wamekosa ulaji wanataka watu waandamane..
 
Sawa ongeza na zingine kama hizo za kumsindikiza babako ICC.
 
Ndugu zangu,

Imenilazimu kusafiri kilometa takribani 1000 ili kumuonesha Robert Amsterdam kuwa hawezi kutupangia nani awe Rais wa Tanzania.

Ushindi upo ila tunataka uwe wa kishindo ili akome, apate fundisho yeye na mawakala wake.

Nimeahirisha kufanya biashara ya mamilioni ili kuilinda nchi yangu dhidi ya mabwanyenye.

Umuhimu wa kusafiri kupiga kura ya kizalendo ni kuepuka aibu kwa vizazi vijavyo watanilaumu wakisema "Babu na wenzio mlikuwa wapi hadi mkaruhusu Robert akapandikiza kiongozi?" hapana, sikubali lawama hii kamwe ndio maana nimesafiri kilometa zaidi ya 1000 kuwakomesha wanyonyaji hawa. Kamwe hatutaruhusu yale yaliyotokea mwaka 1884/5 kwenye mkutano wa Berlin yajirudie.

Tanzania ni nchi huru, tutachagua viongozi wetu wenyewe bila kupangiwa. Tanzania kwanza!
Bwege tu wewe
 
Polisi wameua wanne usiku huu huko Pemba. Hiyo ni kete nyingine ya wakili Amsterdam.
Polisi wanaua wangapi Amerika kila siku ya Mungu? Wengi wao wakiwa wa rangi yako.

Wazungu wa Ulaya wanawaua wangapi kwenye Bahari ya Mediterania? Wakiwaacha watu wanao onekana kama wewe wakizama baharini. Alafu wewe unadai wazungu wakupende wewe kwa sababu wewe ni mtanzania kutoka Zanzibar. Aisee kafie mbali huko. Hatutaki kuuona mziga wako.
 
Back
Top Bottom