MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Long story short,baada ya kufika kwenye mlango wa hizi benki moja za kisasa nikawa natumia nguvu nyingi sana kufungua mlango,kumbe nilivyokuwa nafanya sivyo ,yaani unatakiwa ukikaribia mlango wewe endelea kutembea tu mlango unasense kuna mtu then unajifungua wenyewe,washkaj na mademu waliokuwa karibu walinicheka sana mara "yaani nyie wasukuma tokea ndg yenu awe mkuu mnajidai mnajua kila kitu" nilifadhaika sana nikawasamehe.
Wanasema fool me once shame on you,Ilipofika muda wa kutoka niliulenga mlango vizuri halafu nikafumba macho nakutembea kwa spidi ya hatari ,kumbe kitu nilichokuwa sijui ni kuwa umeme ulikuwa umekatika na wateja wote wanatumia mlango mwingine,nimekuja kushtuka niko MOI.
Dokta ananiambia hapa shingo imeteguka na ninahitajika kufungwa POP ya shingo,maombi yenu tafadhali.
Wanasema fool me once shame on you,Ilipofika muda wa kutoka niliulenga mlango vizuri halafu nikafumba macho nakutembea kwa spidi ya hatari ,kumbe kitu nilichokuwa sijui ni kuwa umeme ulikuwa umekatika na wateja wote wanatumia mlango mwingine,nimekuja kushtuka niko MOI.
Dokta ananiambia hapa shingo imeteguka na ninahitajika kufungwa POP ya shingo,maombi yenu tafadhali.