Nimelazwa hapa MOI,kiherehere na ushamba wangu ndio umenifikisha hapa

Nimelazwa hapa MOI,kiherehere na ushamba wangu ndio umenifikisha hapa

He he he ushamba mzigo! weka picha
asante mkuu,nashukuru sana
images
 
Bank ulienda kujilipia lile deni la taifa😀😀😀😀 maana sii kila mtu anapenda kuishi na madeni.
haah haah,si mmeninyima muongozo wa kuanzia wapi,napambana sana hilo deni nililipe,
 
Long story short,baada ya kufika kwenye mlango wa hizi benki moja za kisasa nikawa natumia nguvu nyingi sana kufungua mlango,kumbe nilivyokuwa nafanya sivyo ,yaani unatakiwa ukikaribia mlango wewe endelea kutembea tu mlango unasense kuna mtu then unajifungua wenyewe,washkaj na mademu waliokuwa karibu walinicheka sana mara "yaani nyie wasukuma tokea ndg yenu awe mkuu mnajidai mnajua kila kitu" nilifadhaika sana nikawasamehe.
Wanasema fool me once shame on you,Ilipofika muda wa kutoka niliulenga mlango vizuri halafu nikafumba macho nakutembea kwa spidi ya hatari ,kumbe kitu nilichokuwa sijui ni kuwa umeme ulikuwa umekatika na wateja wote wanatumia mlango mwingine,nimekuja kushtuka niko MOI.
Dokta ananiambia hapa shingo imeteguka na ninahitajika kufungwa POP ya shingo,maombi yenu tafadhali.
ha ha hah a ha hahaaa,ulichonifurahisha ni kitendo cha kuendelea kuchat hata kama bado una appointment ya hogo la shingo!
 
Back
Top Bottom