Nimeletewa mdada wa kazi "jini"

Mdada wa kazi ana miaka 22-+ huo utani aisee soon utatupa mrejeshomaana its a ticking bomb
 
Kama mwanaume, kichwa cha familia hilo ni jambo dogo sana
Onesha msimamo wa kiume... ila kwengine unadanganya mwanamke gani atembee maziwa wazi labda kama mchawi
 
mkuu wewe huyo bint ushamgegeda sasa hiyo dhambi uliyoifanya it haunts you na unachokuja hapa unataka tukusaidie kujustify ulichofanya ili nafsi yako itulie. Katubu kwa muumba wako kwani it is between you, your maid and the all seeing Mighty God.
 
Huyo sio jini, ni binadamu wa kawaida tu, ila anaipima akili yako.
Biblia inasema AZINIYE NA MWANAMKE HANA AKILI KABISA.

Utaharibu familia yako kwa ujinga na tamaa zako

Huko ndiyo akaoelekea.By the way huyo shoga kamleta huyo binti kahaba kimkakati.kuja kuua ndoa ya rafiki yake.wanawake wana mambo ya ajabu sometimes.
 
Hahaaaa are you serious man? We unadhani anaishije, au unataka apate ugonjwa wa kuchekacheka ndo ujue na yeye bi binadamu.
 
😂😂😂😂😂😂ila kuwa wanaume wanashangaza hii dunia
 
wa wapi huyo bidada mbna pigo za kikahaba anaepiga miguu yotee kuwa makini kuna magonjwa na limbwata pia usije muona mkeo hafai kwa ajili ya upuuzi...kama vipi mbadilikie chap arudi kwao...au ukubali kula mbususu kimasihara[emoji1787]
 
Hivi unavumiliaje kutomwambia mkeo issue za kutumiwa utupu wake wenye damu na ambao hauna. Kama sio chai hii wewe hujitambui.

Kuna vitu mwenye common sense hawezi vi entertain. Wewe kama baba ukisema dada aondoke nani atakukatalia unless una lako jambo.

By the way wanasema hamna msichana wa kazi mgumba.
 
Hebu kula kwanza, mkeo akijua utarudi hapa tukushauri hiyo ndo kitu tunafanya.
 
Mxxxieu.

Wewe ukipiga mzigo huo bila shaka utaenda kumhadisia mkeo.

Sio kwa mihemko hiyo.

Sisi tunasubiri manyoa wewe unatupanga.

Kenge wahed.
 
Inabid kuwashauri mods baadhi ya watu humu wawe wanasoma posts tu za humu ila wao wasiweze kupost chochote hata nukta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…