Nimeletewa mdada wa kazi "jini"

Nimeletewa mdada wa kazi "jini"

Huyo sio jini, ni binadamu wa kawaida tu, ila anaipima akili yako.
Biblia inasema AZINIYE NA MWANAMKE HANA AKILI KABISA.

Utaharibu familia yako kwa ujinga na tamaa zako
Biblia usiichukulie serious unajua duud alizin akampata seleman
 
Sasa wewe kama baba kichwa cha nyumba unashindwaje ku deal na jambo dogo kama hili?

Unashindwa kujua kabisa kipi ni sahihi kufanya na kipi sio sahihi kufanya?

Kwa hiyo ushauri mwingi ukikutaka ukamtafune huyo dada wa kazi utaenda kumtafuna?

Come on wewe ni mwanaume na sifa ya kwanza ya mwanaume ni ku protect his family (family 1st no matter what)

Japo imekaa kama chai sababu dada wa kazi hawezi kua na confidence kubwa kiasi hicho, but tu assume ni kweli, fanya mfokee aache ujinga akiendelea mshirikishe mke wako mu mrudishe kwao being a nice person is not a weakness.
 
Habari za humu JF

KAZI IENDELEE!!

Kiukweli mie sio muandikaji mzuri au mtu wa kuelezea jambo kwa urefu sana tena ki ustadi ila acha tu niandike mtajua namna ya kunielewa.

Nina miezi 6 toka mke wangu alete mdada wa kazi nyumbani baada ya kuona muda wetu wa kufanya au kutoa huduma kwa watoto wetu tukiwa nyumbani haututoshi.
Hivyo mam sapu akaamua kumuagizia jirani yetu aliyekuwa kaenda mkoani kwao kuwa akija amjie na mdada wa kusaidia kazi za pale nyumbani pindi tunapokuwa mahangaikoni.

FUPISHA STORY!!

Ndani ya miezi 6 yote hiyo nimekuwa nikitoka kazini huwa nawaletea vizawadi familia yangu ila kama binadamu huwa sisahau kumletea dada yetu nae zawadi either t-shirt or gauni ama bites bites hizi ili nae asijione mpweke pale home.

Toka huu mwaka umeingia nimeanza kushuhudia vituko vya huyu binti,umri ni miaka 22/23

VITUKO:
Nikiwa natoka asubuhi kwenda kazini (kawaida yake kuja kufunga geti) ,mke wangu yeye huwa anachelewa kutoka ila mie natoka mida ya alfajir sana...nina mkuta huyu binti katoka bila blauzi yani matiti yapo wazi[emoji848] na wala haogopi wala nini anafunga geti then anarudi zake ndani.

Nikiwa natizama mpira sebuleni mida ya usiku atatoka/kupita kuchukua maji kwenye friji ila "Shanga" zake kazitoa kwa nje afu kavaa kitaiti tu.

Kuna siku kanitumia meseji whatsap kuwa anaomba nikirudi nimjie na pedi/mkate kwa wadada[emoji848] sijakaa vizuri naona meseji ya image,kufungua kanitumia picha kunionesha "mbususu" yake ina damu kama ushahid kuwa aongopi ana bleed.

Baada ya masiku kadhaa kanitumia tena meseji kuwa nimepona shem,sijakaa vizuri picha kufungua "mbususu" imekauka kuwa ananiambia kapona[emoji848].

Sa zingine ananitumia meseji shem wahi basi kurudi nimekumic[emoji848].

Kubwa kuliko kuna siku kaniandikia shem nakuonea huruma sana, nahisi dada hakupatii na mwili wako huo...ebu jifanye kama umesahau chumba uje nikuoneshe dunia ya raha ipoje!! Tena nitakupa kitu najua hajawahi dada kukupa hata siku moja!

N.B
Haya yote yanatokea na kutumwa kwenye simu yangu sijawahi kumshirikisha au kumwambia mtu yoyote yule.

Mke wangu naamini nikimwambia hilo fasta atakimbilia kunishutumu na inawezekana kabisa aka conclude kuwa mie nalala na huyo binti.."NAMJUA MKE WANGU NDIO MAAANA NIMEKAA KIMYA MUDA WOTE HUO".

Nilipo sema "Jini" nikimaanisha balaa,shankupe,mzoga,mcharuko ama mapepe.

HUYU MDADA /BINTI HAKIKA MASHAALLAH AMEJUA KUWA BINADAMU KIMWILI HASWAA...NYUMA TURUBAI HAITOSHI KUFUNIKA MZIGO...YANI KIGOLI HASWAAA.

NISAIDIENI JAMANI NIMUEPUKE HUYU BINTI MAANA HII NI KESI.
Ili tukushauri vizuri weka PICHA YA MBUSUSU tujue kama imeiva kwa kuliwa au bado
 
Habari za humu JF

KAZI IENDELEE!!

Kiukweli mie sio muandikaji mzuri au mtu wa kuelezea jambo kwa urefu sana tena ki ustadi ila acha tu niandike mtajua namna ya kunielewa.

Nina miezi 6 toka mke wangu alete mdada wa kazi nyumbani baada ya kuona muda wetu wa kufanya au kutoa huduma kwa watoto wetu tukiwa nyumbani haututoshi.
Hivyo mam sapu akaamua kumuagizia jirani yetu aliyekuwa kaenda mkoani kwao kuwa akija amjie na mdada wa kusaidia kazi za pale nyumbani pindi tunapokuwa mahangaikoni.

FUPISHA STORY!!

Ndani ya miezi 6 yote hiyo nimekuwa nikitoka kazini huwa nawaletea vizawadi familia yangu ila kama binadamu huwa sisahau kumletea dada yetu nae zawadi either t-shirt or gauni ama bites bites hizi ili nae asijione mpweke pale home.

Toka huu mwaka umeingia nimeanza kushuhudia vituko vya huyu binti,umri ni miaka 22/23

VITUKO:
Nikiwa natoka asubuhi kwenda kazini (kawaida yake kuja kufunga geti) ,mke wangu yeye huwa anachelewa kutoka ila mie natoka mida ya alfajir sana...nina mkuta huyu binti katoka bila blauzi yani matiti yapo wazi[emoji848] na wala haogopi wala nini anafunga geti then anarudi zake ndani.

Nikiwa natizama mpira sebuleni mida ya usiku atatoka/kupita kuchukua maji kwenye friji ila "Shanga" zake kazitoa kwa nje afu kavaa kitaiti tu.

Kuna siku kanitumia meseji whatsap kuwa anaomba nikirudi nimjie na pedi/mkate kwa wadada[emoji848] sijakaa vizuri naona meseji ya image,kufungua kanitumia picha kunionesha "mbususu" yake ina damu kama ushahid kuwa aongopi ana bleed.

Baada ya masiku kadhaa kanitumia tena meseji kuwa nimepona shem,sijakaa vizuri picha kufungua "mbususu" imekauka kuwa ananiambia kapona[emoji848].

Sa zingine ananitumia meseji shem wahi basi kurudi nimekumic[emoji848].

Kubwa kuliko kuna siku kaniandikia shem nakuonea huruma sana, nahisi dada hakupatii na mwili wako huo...ebu jifanye kama umesahau chumba uje nikuoneshe dunia ya raha ipoje!! Tena nitakupa kitu najua hajawahi dada kukupa hata siku moja!

N.B
Haya yote yanatokea na kutumwa kwenye simu yangu sijawahi kumshirikisha au kumwambia mtu yoyote yule.

Mke wangu naamini nikimwambia hilo fasta atakimbilia kunishutumu na inawezekana kabisa aka conclude kuwa mie nalala na huyo binti.."NAMJUA MKE WANGU NDIO MAAANA NIMEKAA KIMYA MUDA WOTE HUO".

Nilipo sema "Jini" nikimaanisha balaa,shankupe,mzoga,mcharuko ama mapepe.

HUYU MDADA /BINTI HAKIKA MASHAALLAH AMEJUA KUWA BINADAMU KIMWILI HASWAA...NYUMA TURUBAI HAITOSHI KUFUNIKA MZIGO...YANI KIGOLI HASWAAA.

NISAIDIENI JAMANI NIMUEPUKE HUYU BINTI MAANA HII NI KESI.
Kula mzigo acha kuremba remba.
 
Sasa wewe kama baba kichwa cha nyumba unashindwaje ku deal na jambo dogo kama hili?

Unashindwa kujua kabisa kipi ni sahihi kufanya na kipi sio sahihi kufanya?

Kwa hiyo ushauri mwingi ukikutaka ukamtafune huyo dada wa kazi utaenda kumtafuna?

Come on wewe ni mwanaume na sifa ya kwanza ya mwanaume ni ku protect his family (family 1st no matter what)

Japo imekaa kama chai sababu dada wa kazi hawezi kua na confidence kubwa kiasi hicho, but tu assume ni kweli, fanya mfokee aache ujinga akiendelea mshirikishe mke wako mu mrudishe kwao being a nice person is not a weakness.
Sawaa mkuu nimekuelewa,
Ila najua wapi nilikosea ndipo alipopata hiyo confidence.
 
Jf kwasasa wapika kahawa niwengi sana na kunanyingine tunaletew mbichi kabisa bado hazijaivaa
 
My wife ni mtu wa kurukia kwenye lawama bila kusubiri mjadala wa kina, naweza nikamwambia akarukia kuwa nimeisha kombeleza sasa ndio namwambia. Itakuwa balaa nzito.
Samaki mkunje angali mbichi. Sasa wewe umelea kipele kimekua jipu ndio unashtuka. Tangu mwanzo ungemshirikisha mkeo. Wewe unamnunulia msichana mpaka gauni kwanini asiwe huru kukuomba hela ya pad. Wanaume wengine mnakera sana
 
Ikitick, mambo bam bam.... . wanabebaga na midawa pori kutoka huko kwao wana kuna kwa lengo la kuchukua nyumba..
Hahahahaaa Ukiona goli limefungwa usimlaumu kipa anza kudili na beki mama
 
Back
Top Bottom