Nimeletewa mdada wa kazi "jini"

Bila picha ya jini ...hii inakuwa ni chai ya masala
 
hata ningekuwa mimi nisingemwambia wife....ningeendelea kuinjoi tena mpaka jumapili ningekuwa naamka alfajiri hata kama hakuna kazi
 
Umeshanasa mkuu,,,, kwa jinsi ulivosimulia inaonekana umekamatika vilivyo...

Unataka tu Public support ukamalize kazi...

Jichunge sana,,, Mtimue kama itawezekana
 
Sawa mkuu, umesikika vyema!!
 
Kapicha basi mkuu!!πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…