Nimeletewa mdada wa kazi "jini"

Sasa tukusaidie kufanya Nini??.Km unaipenda ndoa yako mwambie Mkeo kuwa amrudishe kwao huyo binti atafutwe binti mwingine mdogo mdogo.
 
mzee leta mrejesho, huyo jini alisema atakupa kitu adimu ambacho mke wako hajawahi kukupa.....
 
hahah imebidi nicheke tu. lakini mkuu hujatuambia wakati wote huo wewe ulikua unajibu nini maana kwa kawaida maongezi yana pande mbili .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwe unaandika vizuri kichwa habari wengine tulijua lini saradini kumbe kimasihara inaandaliwa.
 
Nipe namba yake nimwambie asikusumbue we ni mume wa mtuπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Muwe mnawapa Likizo Wafanyakazi wenu wa Ndani hata Waende Kwao. Haya Yote Ni wewe kutokujua Kuishi na Hawa Viumbe wanaoharibu sana Ndoa sometimes
 
Mbona umeshamuepuka tayari. Cha msingi we endelea kumuepuka hivyo hivyo.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Itakua umetemgenezea hayo mazingira ya yeye kukuzoea hivyo...
 
Mwanaume unamnunuliaje msichana wa kazi nguo? Huo ni umama
 
Huyo alikuwa Malaya huko alikotoka kwahiyo hapo anataka aendeleze kaz yake kwako.kama unaipenda ndoa yako idumu ongea na wife kiustaarabu kuwa hamuitaji msaidizi tena au vyovyote amrudishe alikotoka ila ukikubali kumchakata jua umekubali kuivunja ndoa yako.maana mafahari wawili hao hawatokaa zizi moja.hayo yote anafanya makusudi ili uzame kwenye shimo lake Sasa siku utakayozama Tu jua umeharibu Maisha yako na mama junior Kwan hakuna Siri ya kudumu mkishafanya kitendo hicho.

Timua huyo raia
 
Wanaumeeeee,,,,.,,,,,,, Narudia tena wanaumeeeee,,,,,,. (wee mtoa mada usijibu kaa kimya haikuhusu ngoja upevuke kwanza)umeniudhi sana
 
Yaani kama unahisi mkeo atakusingizia tu akijua sasa unasubiri nini? Tenda tendo likamilike ili ukisingiziwq iwe umekula mzigo kweli. Mkeo hana akili ka ndiyo alivyo. Anapaswa akuamini
Amuamini vipi wakati mwanaume mwenyewe hapitwi na sketi?
 
Uki entertain ujinga utazaa ujinga na kulea ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…