Kuna mshikaji mmoja, alinitembelea Mtwara, basi ile kujimix kitaa siku mbili tatu karudi na ma concept kibao ooh mademu wa mtwara simple sana et vers 1 tu anaingia kingi.
Asijisifu sana leo na mimi nimeprove hapa A.town! wa hapa ni wepesI zaidi!....
Mkuu, wengine ni tabia zao tu.
umeenda mrina nini mkuu...
Karibia wagen wote (wanaume) wanoenda A town lazima watembelee hapo.ha ha ha mkuu unanikumbusha mambo ya the PIKINIKI ....pick mambo!!! hi mitu itakuwa pita pande hii...
Karibia wagen wote (wanaume) wanoenda A town lazima watembelee hapo.
Kuna mshikaji mmoja, alinitembelea Mtwara, basi ile kujimix kitaa siku mbili tatu karudi na ma concept kibao ooh mademu wa mtwara simple sana et vers 1 tu anaingia kingi.
Asijisifu sana leo na mimi nimeprove hapa A.town! wa hapa ni wepesI zaidi!....
Next time ya wakati mwingine ukija hapana toa siri za watu! Ingekuwa ivo kila tuendako tunatoa siri pangeenea kweli hapa jamvini? BADILIKA, KWANI UDHAIFU WA MMOJA HAUMAANISHI WOTE NDIVYO WALIVYO. Nimemaliza!
eti mgumu.......umetumia kigezo gani kujiita mgumu.....wepesi kuliko wewe? usifanye generalization basi, sema "BAADHI" usitushushie heshima bana ambao ni wagumu khaaa!!
mmmmmmh!kwa hiyo unakubaliana na heading yake........mtu akifika bei basiweeee!tukalie mbali baba,utakua umenasa kwa changu bila shaka,kina cc wa bei ghali