Nimeligundua Leo: Mademu wa Arusha city hawatofautiani, na wa Mtwara kwetu.

Nimeligundua Leo: Mademu wa Arusha city hawatofautiani, na wa Mtwara kwetu.

Mkuu utakua umeng'oa yale madude yetu yanayojipangaga mitaa fulani.....
Usingetupia hata verse ungeuliza tu "shi ngapi??"

Ha! ha! hapana mkuu, hakuwa dude! alikua mdada wa ukweli, alimind hata kulipia lunch
 
lol.... eti na hii ni thread!!!!!

Najuuuuuuuta kuifungua angrrrrrrrrrrrr
 
kiwatengu;

Ilikuwaje mpaka hayo yote yakamsibu?

Hata picha haujapata kuchukua?

Nilijitahidi sana kuchukua picha washkaji wakamind sana, jamaa alikuwa anatapeli watu na dawa feki..
 
Last edited by a moderator:
Ugumu wa maisha unachangia wawe wepesi
 
Kuna mshikaji mmoja, alinitembelea Mtwara, basi ile kujimix kitaa siku mbili tatu karudi na ma concept kibao ooh mademu wa mtwara simple sana et vers 1 tu anaingia kingi.
Asijisifu sana leo na mimi nimeprove hapa A.town! wa hapa ni wepesI zaidi!....

Mbona husemi wamekula ngapi? its business mazeeeee
 
usiishie hapo tembelea mikoa yote na yenyewe uangalia jinsi walivyo rahisi ....mwenyewe unaona sifa
 
Karibia wagen wote (wanaume) wanoenda A town lazima watembelee hapo.


..lazima mkuu watu mafisifisi kama mimi nikifika pale huwa napata kiwewe mkuu si unajua pale kila sampuli ipo!!!...chezeya pikiniki wewe...
 
Kuna mshikaji mmoja, alinitembelea Mtwara, basi ile kujimix kitaa siku mbili tatu karudi na ma concept kibao ooh mademu wa mtwara simple sana et vers 1 tu anaingia kingi.
Asijisifu sana leo na mimi nimeprove hapa A.town! wa hapa ni wepesI zaidi!....

weeee!tukalie mbali baba,utakua umenasa kwa changu bila shaka,kina cc wa bei ghali
 
Next time ya wakati mwingine ukija hapana toa siri za watu! Ingekuwa ivo kila tuendako tunatoa siri pangeenea kweli hapa jamvini? BADILIKA, KWANI UDHAIFU WA MMOJA HAUMAANISHI WOTE NDIVYO WALIVYO. Nimemaliza!
 
Arushaone my brother ! siku izi siku somi somi vizuri. I hope upo njema'
Next time ya wakati mwingine ukija hapana toa siri za watu! Ingekuwa ivo kila tuendako tunatoa siri pangeenea kweli hapa jamvini? BADILIKA, KWANI UDHAIFU WA MMOJA HAUMAANISHI WOTE NDIVYO WALIVYO. Nimemaliza!
 
Last edited by a moderator:
wepesi kuliko wewe? usifanye generalization basi, sema "BAADHI" usitushushie heshima bana ambao ni wagumu khaaa!!
eti mgumu.......umetumia kigezo gani kujiita mgumu.....
 
Back
Top Bottom