aya mama Ruttashobolwa pumzikanaona na ww unaanza kunibore na vijiswali vyako,nimetoka kula saa hizi staki shida MPALU, au una njaa maana swali lako gumu kweli pia kama umeuliza kwa jazba!
Sio mrina! ts was near sheikh amr stadium, the 1st then the 2nd was near nmb market branch, and the 3rd was Kalolen, kwa kujiridhisha zaid nikaenda kwa msola where i gt the 4th 1
mkuu kiwatengu bibie passion lady yeye ni mchumba wa mtu
Mpalu! wachumba za watu n simple sana, coz they are in, kumshika kuku wa bandan n cmple zaid wa yule wa nje
Mkuu Filipo; watanishukia kwa kusema ukweli? truth i'll remain truth no matter how many i'll say no..na km n uongo utabakia uongo hata kama weng watasema ndiyo.
Kwanini hapo umehusisha utafiti mkuu, ni kweli wapo waliyotulia na wapo ambao hawajatulia
Sija generalise mkuu! ts was about passion lady, who think she is strong because ana fiancee, kitu ambacho sijakubaliana nae, ndiyo maana nikatoa huo mfano.
Haya ndio matatizo niliyokuwa nayasema! Huyo passion lady hajakaguliwa ndio maana anajiendea tu. Nimemwambia Ruttashobolwa nae anatetea na nina wasiwasi wamemuhonga Baba V maana nae haeleweki licha ya Asprin kukubaliana na mimi! Ndio maana ndoa nyingi zinavunjika! Dam it!
Hapa mnajadili nini sasa????
Ebu nikusikitikieni kwanza . . .naketi pembeni!
Ni huyu passion lady anafikiria kuolewa wakati hajakaguliwa! Ndio najaribu kumwelewesha kuwa hakunaga kitu kama hicho!