Nimeligundua Leo: Mademu wa Arusha city hawatofautiani, na wa Mtwara kwetu.

Nimeligundua Leo: Mademu wa Arusha city hawatofautiani, na wa Mtwara kwetu.

Sio mrina! ts was near sheikh amr stadium, the 1st then the 2nd was near nmb market branch, and the 3rd was Kalolen, kwa kujiridhisha zaid nikaenda kwa msola where i gt the 4th 1

yesuruuuu!ok gudluck!
 
kuna wake za watu humu Mkuu! Watakuja kukushukia hapa!!?

Mkuu Filipo; watanishukia kwa kusema ukweli? truth i'll remain truth no matter how many i'll say no..na km n uongo utabakia uongo hata kama weng watasema ndiyo.
 
Mkuu Filipo; watanishukia kwa kusema ukweli? truth i'll remain truth no matter how many i'll say no..na km n uongo utabakia uongo hata kama weng watasema ndiyo.

Nawafahamu sana wanawake wengi walio kwenye mahusihano na wametulia. Sasa sijui unatumia utafiti gani. Sidhani kama upo sahihi!
 
Nawafahamu sana wanawake wengi walio kwenye mahusihano na wametulia. Sasa sijui unatumia utafiti gani. Sidhani kama upo sahihi!

Kwanini hapo umehusisha utafiti mkuu, ni kweli wapo waliyotulia na wapo ambao hawajatulia
 
Poa sana! Kuna jamaa anaharibu hali ya hewa hapa. Nilikuwa namuweka sawa!
 
kwahiyo hukuwa sahihi ku generalise!

Sija generalise mkuu! ts was about passion lady, who think she is strong because ana fiancee, kitu ambacho sijakubaliana nae, ndiyo maana nikatoa huo mfano.
 
Sija generalise mkuu! ts was about passion lady, who think she is strong because ana fiancee, kitu ambacho sijakubaliana nae, ndiyo maana nikatoa huo mfano.

Haya ndio matatizo niliyokuwa nayasema! Huyo passion lady hajakaguliwa ndio maana anajiendea tu. Nimemwambia Ruttashobolwa nae anatetea na nina wasiwasi wamemuhonga Baba V maana nae haeleweki licha ya Asprin kukubaliana na mimi! Ndio maana ndoa nyingi zinavunjika! Dam it!
 
Last edited by a moderator:
Haya ndio matatizo niliyokuwa nayasema! Huyo passion lady hajakaguliwa ndio maana anajiendea tu. Nimemwambia Ruttashobolwa nae anatetea na nina wasiwasi wamemuhonga Baba V maana nae haeleweki licha ya Asprin kukubaliana na mimi! Ndio maana ndoa nyingi zinavunjika! Dam it!

hahaaaaa!filipo mi nikajua umeshasahau habari za ukaguzi,baba v hatujamhonga wala nn anasimamia haki,wanandoa wanakaguana wenyewe bna,Big up Baba V!kiwatengu
 
hahaaaaa!filipo mi nikajua umeshasahau habari za ukaguzi,baba v hatujamhonga wala nn anasimamia haki,wanandoa wanakaguana wenyewe bna,Big up Baba V!kiwatengu

hahahaha! Filipo ni muwazi sana. anasema ukweli sana.
 
Hapa mnajadili nini sasa????

Ebu nikusikitikieni kwanza . . .naketi pembeni!
 
Back
Top Bottom