Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Mwaka 2009 wakati nikiwa form 3 nilienda kanisani na kumwambia baba mchungaji nataka kubadilisha jina hili walilonipa wazazi wangu silitaki.
Eti wamenipa jina la babu yangu mzaa baba, babu mlevi kiwembe balaa kwa madem, alikuwa na utajiri wa ng’ombe 500 mbuzi kibao wote kahonga madem, mifugo wengine alikuwa anawapa wanaume kama fidia pale wanapomfuma na wake zao. Nikasema babu gani ndezi namna hii yaani mimi ndio nirithi jina lake?
Baba mchungaji akaniambia sawa nikachagua jina nilitakalo nikabatizwa. Japo mavyeti yanasoma hilo jina bado napambana kubadilisha japo kuna kimbembe.
Wazazi wapeni watoto wenu majina mazuri.
Eti wamenipa jina la babu yangu mzaa baba, babu mlevi kiwembe balaa kwa madem, alikuwa na utajiri wa ng’ombe 500 mbuzi kibao wote kahonga madem, mifugo wengine alikuwa anawapa wanaume kama fidia pale wanapomfuma na wake zao. Nikasema babu gani ndezi namna hii yaani mimi ndio nirithi jina lake?
Baba mchungaji akaniambia sawa nikachagua jina nilitakalo nikabatizwa. Japo mavyeti yanasoma hilo jina bado napambana kubadilisha japo kuna kimbembe.
Wazazi wapeni watoto wenu majina mazuri.