Nimelikataa jina walilonipa wazazi wangu

Nimelikataa jina walilonipa wazazi wangu

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Mwaka 2009 wakati nikiwa form 3 nilienda kanisani na kumwambia baba mchungaji nataka kubadilisha jina hili walilonipa wazazi wangu silitaki.

Eti wamenipa jina la babu yangu mzaa baba, babu mlevi kiwembe balaa kwa madem, alikuwa na utajiri wa ng’ombe 500 mbuzi kibao wote kahonga madem, mifugo wengine alikuwa anawapa wanaume kama fidia pale wanapomfuma na wake zao. Nikasema babu gani ndezi namna hii yaani mimi ndio nirithi jina lake?

Baba mchungaji akaniambia sawa nikachagua jina nilitakalo nikabatizwa. Japo mavyeti yanasoma hilo jina bado napambana kubadilisha japo kuna kimbembe.

Wazazi wapeni watoto wenu majina mazuri.
 
Uko sawa kabisa, ingawa ulikosea,

Kwenye kuchagua Jina jipya ulipasa kupata ushauri wa Mchungaji kupitia maombi.

Baada ya kubadili Jina, Badili pia na kabila, maana waliompokea YESU KRISTO kuwa BWAWA na Mwokozi wanazaliwa UPYA, Jina jipya, Cheo kipya, kabila jipya.

Ubarikiwe.
 
Uko sawa kabisa, ingawa ulikosea,

Kwenye kuchagua Jina jipya ulipasa kupata ushauri wa Mchungaji kupitia maombi.

Baada ya kubadili Jina, Badili pia na kabila, maana waliompokea YESU KRISTO kuwa BWAWA na Mwokozi wanazaliwa UPYA, Jina jipya, Cheo kipya, kabila jipya.

Ubarikiwe.
Utumishi wa mchongo huu
 
Hapa ndiyo Ngozi nyeupe walituweza!

Kwamba ukiitwa Mussa au Muhamad ndiyo mambo yako yatanyooka?!

Bora hata huyo babu yako aliweza kupata hata hao Ng'ombe 500 wewe baada ya kubadili jina sasa hivi una mali kiasi gani?!

Hakuna ujinga kama kuthamini majina ya Wazungu na Warabu!
 
Mwaka 2009 wakati nikiwa form 3 nilienda kanisani na kumwambia baba mchungaji nataka kubadilisha jina hili walilonipa wazazi wangu silitaki.

Eti wamenipa jina la babu yangu mzaa baba, babu mlevi kiwembe balaa kwa madem, alikuwa na utajiri wa ng’ombe 500 mbuzi kibao wote kahonga madem, mifugo wengine alikuwa anawapa wanaume kama fidia pale wanapomfuma na wake zao. Nikasema babu gani ndezi namna hii yaani mimi ndio nirithi jina lake?

Baba mchungaji akaniambia sawa nikachagua jina nilitakalo nikabatizwa. Japo mavyeti yanasoma hilo jina bado napambana kubadilisha japo kuna kimbembe.

Wazazi wapeni watoto wenu majina mazuri.
Umeshindwa kujiongeza wewe.
Hilo jina lina pande mbili.
1)utajiri wa ng'ombe na mbuzi
2)Tabia chafu ya kuchukua wake za watu

Ungelitumia hilo jina kwanza mpaka ukapata utajiri wa mbuzi na ng'ombe halafu ndio ungeenda kanisani kulibadilisha.
 
Hapa ndiyo Ngozi nyeupe walituweza!

Kwamba ukiitwa Mussa au Muhamad ndiyo mambo yako yatanyooka?!

Bora hata huyo babu yako aliweza kupata hata hao Ng'ombe 500 wewe baada ya kubadili jina sasa hivi una mali kiasi gani?!

Hakuna ujinga kama kuthamini majina ya Wazungu na Warabu!
Unekurupuka hakuna sehemu kasema amethamini jina la kizungu wala kiarabu. Kakataa kuotwa majina ya kipuuzi kama Masumbuko, mahangaiko, Shida, taabimu, matatizo, Njaa, Bakuli n.k. Inaweza akawa anaitwa sasa Andambike, Nuru n.k
 
Mwaka 2009 wakati nikiwa form 3 nilienda kanisani na kumwambia baba mchungaji nataka kubadilisha jina hili walilonipa wazazi wangu silitaki.

Eti wamenipa jina la babu yangu mzaa baba, babu mlevi kiwembe balaa kwa madem, alikuwa na utajiri wa ng’ombe 500 mbuzi kibao wote kahonga madem, mifugo wengine alikuwa anawapa wanaume kama fidia pale wanapomfuma na wake zao. Nikasema babu gani ndezi namna hii yaani mimi ndio nirithi jina lake?

Baba mchungaji akaniambia sawa nikachagua jina nilitakalo nikabatizwa. Japo mavyeti yanasoma hilo jina bado napambana kubadilisha japo kuna kimbembe.

Wazazi wapeni watoto wenu majina mazuri.
Hata wao walikuchagulia hilo wakiamini ni jina zuri. Labda useme wasiwape watoto majina ya kurithi
Watoto warithishwe mali na elimu na sio majina
 
Mwaka 2009 wakati nikiwa form 3 nilienda kanisani na kumwambia baba mchungaji nataka kubadilisha jina hili walilonipa wazazi wangu silitaki.

Eti wamenipa jina la babu yangu mzaa baba, babu mlevi kiwembe balaa kwa madem, alikuwa na utajiri wa ng’ombe 500 mbuzi kibao wote kahonga madem, mifugo wengine alikuwa anawapa wanaume kama fidia pale wanapomfuma na wake zao. Nikasema babu gani ndezi namna hii yaani mimi ndio nirithi jina lake?

Baba mchungaji akaniambia sawa nikachagua jina nilitakalo nikabatizwa. Japo mavyeti yanasoma hilo jina bado napambana kubadilisha japo kuna kimbembe.

Wazazi wapeni watoto wenu majina mazuri.
Kwa hiyo ulivyobadili ukaitwa ELON tabia zako zimebadilika na tayari wewe ni tajiri namba 1 duniani?
 
Upuuzi wa hayo majina ni upi?
Jina halina tabia bali mmiliki wa jina ndio ana tabia ndio maana hata mkuitwa watu wawili jina moja ni lazima mienendo yenu haita fanana.
Unekurupuka hakuna sehemu kasema amethamini jina la kizungu wala kiarabu. Kakataa kuotwa majina ya kipuuzi kama Masumbuko, mahangaiko, Shida, taabimu, matatizo, Njaa, Bakuli n.k. Inaweza akawa anaitwa sasa Andambike, Nuru n.k
P
 
Back
Top Bottom