Hiyo mbuga limeni mpunga! Mazao yanayoathiriwa na maji ni pata-potea! Pia mnaweza anzisha kilimo cha dengu, mafuriko yakikata mwezi Wa nne mnapiga dengu! Yasipokuwapo unaponea kwenye hiyo alizeti! Niliishi Kasulu tukakuta raia mbuga hawazitumii tukawafundisha KILIMO cha mpunga, sasa hivi Kasulu inawika kwa KILIMO cha mpunga! Wasukuma hoyeeeeeeee!
kweli kilimo ni kamari lakini sikati tamaa bado tapambana mpaka kieleweke
next time use insurance, i am flabbergasted at how careless people are with their investments.
pole sana.
kweli kilimo ni kamari lakini sikati tamaa bado tapambana mpaka kieleweke
Sio suala la Kuwait "careless", Mkuu Mzungu! Unafahamu ni karaha kiasi gani na rushwa kiasi gani inayodaiwa kwa Mwenye Bima hadi alipwe fidia hapa Tanzania? Unafahamu inagharimu kiasi gani kufuatia fidia hadi ilipwe? Ni Shirika gani la Bima Mashambani kama sio wote wamerundikana kwenye Mijini kwenye Viyoyozi tu!
I have nothing against Insurance and a person Insuring his/her properties/products. The issue is, Insurance in Tanzania is a farce!
Mimi mwaka Jana nimelima vitunguu eka sita (6) nimetumia milion Tisa (9) nikatoka na laki sita sijakata tamaa saivi nina eka mbili nasubiri baraka za mungu mwezi wa pili katikati kwenye mavuno hivyo pia na wewe nakushauri usikate tamaa maana mpaka nilitaka kujuta lakini nikakumbuka kuwa mungu alipa mtihani ule sijui kwanini maana nilitaka ninunue gari na hiyo hela huenda labda ingeniua sijui naomba ndugu zangu tukumbuke kuwa kukata tamaa ni dhambi tupambaneni mpaka kieleweke
kweli kilimo ni kamari lakini sikati tamaa bado tapambana mpaka kieleweke
Sio kamali kaka. Kilimo kina kanuni zake kama biashara nyinginezo. Namaanisha unatakiwa kuwa na plan yako ya kilimo ikijumuisha pia risks na changamoto unahisi zinaweza kutokea na njia za kuweza kukabili. Nilichojifunza mimi mara nyingi tunasahau kuconsider hali ya hewa katikia mipango yetu ( mvua, temperature n.k).
Kwasasa kaa chini jiulize ni changamoto zipi umepata na utatatuaje.
Thanks
Mimi mwaka Jana nimelima vitunguu eka sita (6) nimetumia milion Tisa (9) nikatoka na laki sita sijakata tamaa saivi nina eka mbili nasubiri baraka za mungu mwezi wa pili katikati kwenye mavuno hivyo pia na wewe nakushauri usikate tamaa maana mpaka nilitaka kujuta lakini nikakumbuka kuwa mungu alipa mtihani ule sijui kwanini maana nilitaka ninunue gari na hiyo hela huenda labda ingeniua sijui naomba ndugu zangu tukumbuke kuwa kukata tamaa ni dhambi tupambaneni mpaka kieleweke
maafisa wa bima kuwa kero sio sababu ya wewe kutoku-insure mazao yako.
Tujifunze kuwa responsible, kama tunataka kweli kupambana kwenye karne ya 21.
next time use insurance, i am flabbergasted at how careless people are with their investments.
pole sana.
Sio kamali kaka. Kilimo kina kanuni zake kama biashara nyinginezo. Namaanisha unatakiwa kuwa na plan yako ya kilimo ikijumuisha pia risks na changamoto unahisi zinaweza kutokea na njia za kuweza kukabili. Nilichojifunza mimi mara nyingi tunasahau kuconsider hali ya hewa katikia mipango yetu ( mvua, temperature n.k).
Kwasasa kaa chini jiulize ni changamoto zipi umepata na utatatuaje.
Thanks
Weka picha
That's good thing, Mkuu nipe kaelimu kidogo, kuinsure mazao kuna utofauti wowote na kuinsure magali or nyumba!? Kampuni gani ni nzuri kwa hii aina ya insurance.
Sorry kwa kuchukua muda wako
I like this idea, can you share insurance companies which insurers agricultural undertakings. It will help many.